Kwanini Mfalme Zumaridi na Makerubi wake wanatembea kama mazombie?

Kwanini Mfalme Zumaridi na Makerubi wake wanatembea kama mazombie?

Wanaigiza tu, wote ni vichaa wanaozidiana kdg
IMG-20220304-WA0009.jpg
 
Nilikuwa nikiona mada za Zumaridi humu naziruka, hivyo nilikuwa sielewi kitu, nimemfuatilia.

Nimekutana na dada anaitwa Diana, she is very bold amd brave, nimependa sana. Kuna sehemu anaingizia ishu ya Marehemu Kanumba, kwamba amewasiliana nae kwa simu, na kwamba roho yake, Yeye Zumaridi ameshaiondoa kule kuzimu, A bold move..

Pia siku nyingine anahojiwa na kusema ameongea na Mungu kwa sauti, kuhusu issue ya HIV/AIDS, anotheer bold move..

Unaweza ukadharau lakini hizi issues ndio zimewatajirisha Gwajima na Babu wa Loliondo respectively.. na zinaendelea kumtajirisha Mwamposa na kuhani Mussa japo wao wanazihubiri indirectly..

Kwa hiyo kukuta binti mdogo kama Diana(Mfalme Zumaridi)ana uthubutu mkubwa kiasi hicho nimependa, maisha bila kuwa Bold and Brave utakufa masikini, Kwa sababu huyu dada anaonekana ana pesa nyingi(inashangaza anazitoa wapi), atafute wanasheria wazuri wamchomoe kwanza kwenye huu msala, halafu wawe kama washauri wa kumguide anapoendelea na kanisa lake asiteleze katika loopholes za kijinai, awarob rob hata baadhi ya akina nanii huko wasimsumbue sumbue, and if that happens.., this girl is a billionaire in the making!! DIANA BUNDALA njoo usome ushauri huku uendelee kupiga hela.
Hakuna kesi pale hata kwa mwanasheria bushlawyer labda police tu ndo Wana bifu nae kwa kuwachana / kuwagomea sababu police hawakufuata taratibu za ukamataji.
Kuhusu ishu ya Kanumba ni true still yupo duniani kwa macho ya mwili huwezi muona,si mara ya kwanza kusikia ushuhuda kuhusu uwepo wa Kanumba.
 
Baada ya Kanumba kujiunga freemason wakamuonjesha pesa na umaarufu akanogewa kuna kosa alifanya akapewa adhabu atoe kafara watu watano wa familia yake Mama yake mzazi akiwemo wa mwisho. Kanumba alitoa Siri za freemason kupitia move ya devil kingdom pia alitoa single ya nitayainua macho yangu akiwa kama mtu aliyekwenye shida fulani kiroho. Freemason wakagundua anataka kuwakimbia, baada ya kuona masharti aliyopewa ni mazito na mda kafara aliopewa unakaribia kwisha akawa anatapa tapa mara aende kwa Kakobe mara wapi. Lulu alitumika kama kivuli tu lakini tayari walikuwa washamchukua na ndo maana lulu akupewa kesi ya mauaji na hakukaa mda mrefu jela.
Still lile agano la wale watu watano wa familia yake ni lzm litimie akiwemo mama yake kama ajasimama vizuri na mola wake. Mali zake zote zimerudi freemason. Freemason kuna kiapo cha damu ukitoa Siri au ukitaka kujitoa adhabu yake ni kifo na mali zao wanachukua, mali zao zina muhuri kama sio freemason huwezi uona huo muhuri.
Zumarid ni cult anatumia roho ya yezeebul kuponya na kutenda miujiza si mfuasi wa Kristo, anatumia kibali cha usajili cha Makanisa ya Pentecostal lakini mafundisho yake si ya Kipentecoste. So kusema anamuona Kanumba au kumleta Michael Jackson ni true kwa macho ya giza sababu hawa wote wapo kwenye magereza ya freemason.



Babu wa loliondo ni mpango wa kuzimu thus kuna baadhi ya wachungaji waliwaonya waumini wao wasiende kwenye kikombe.

Si kwamba huwezi toka freemason unaweza wapo wengi tu walikuwa huko walitoka lakini kwa misuko suko tele wakiwindwa wapi. Ukiamua toka freemason shikamana Sana na Yesu Kristo ukimuacha tu ni lazima watakuuwa pia mali zao zote warudishie Ili kusiwepo na connection yeyeto ya kukufatilia sababu mali zao zote wanazokupa wanazipiga bar codes na zinaonekana popote.
 

Attachments

  • VID-20220305-WA0008.mp4
    3.8 MB
Baada ya Kanumba kujiunga freemason wakamuonjesha pesa na umaarufu akanogewa kuna kosa alifanya akapewa adhabu atoe kafara watu watano wa familia yake Mama yake mzazi akiwemo wa mwisho. Kanumba alitoa Siri za freemason kupitia move ya devil kingdom pia alitoa single ya nitayainua macho yangu akiwa kama mtu aliyekwenye shida fulani kiroho. Freemason wakagundua anataka kuwakimbia, baada ya kuona masharti aliyopewa ni mazito na mda kafara aliopewa unakaribia kwisha akawa anatapa tapa mara aende kwa Kakobe mara wapi. Lulu alitumika kama kivuli tu lakini tayari walikuwa washamchukua na ndo maana lulu akupewa kesi ya mauaji na hakukaa mda mrefu jela.
Still lile agano la wale watu watano wa familia yake ni lzm litimie akiwemo mama yake kama ajasimama vizuri na mola wake. Mali zake zote zimerudi freemason. Freemason kuna kiapo cha damu ukitoa Siri au ukitaka kujitoa adhabu yake ni kifo na mali zao wanachukua, mali zao zina muhuri kama sio freemason huwezi uona huo muhuri.
Zumarid ni cult anatumia roho ya yezeebul kuponya na kutenda miujiza si mfuasi wa Kristo, anatumia kibali cha usajili cha Makanisa ya Pentecostal lakini mafundisho yake si ya Kipentecoste. So kusema anamuona Kanumba au kumleta Michael Jackson ni true kwa macho ya giza sababu hawa wote wapo kwenye magereza ya freemason.



Babu wa loliondo ni mpango wa kuzimu thus kuna baadhi ya wachungaji waliwaonya waumini wao wasiende kwenye kikombe.

Si kwamba huwezi toka freemason unaweza wapo wengi tu walikuwa huko walitoka lakini kwa misuko suko tele wakiwindwa wapi. Ukiamua toka freemason shikamana Sana na Yesu Kristo ukimuacha tu ni lazima watakuuwa pia mali zao zote warudishie Ili kusiwepo na connection yeyeto ya kukufatilia sababu mali zao zote wanazokupa wanazipiga bar codes na zinaonekana popote.

Mshana Jr je ya kweli haya?
 
Huyu ni mpuuzi mmoja tu.
Mkuu usimtukane mtu kwa kuiga mitume waliopita. Fikiria ulichoandika kisha fikiria na mitume waliopita walikuwa wanafanya nini. Dini ni usanii tu na ndiyo maana mitume waliopita na hawa wa kisasa wote wanafanya vituko vile vile tu. Waafrika wengi hawajitmbui akili, mtu anakariri kitu tu bila hata kujuwa historia yake, very sad na ndiyo maana tunazidi kuchezewa akili tu kama mazombie.
 
Hakuna kesi pale hata kwa mwanasheria bushlawyer labda police tu ndo Wana bifu nae kwa kuwachana / kuwagomea sababu police hawakufuata taratibu za ukamataji.
Kuhusu ishu ya Kanumba ni true still yupo duniani kwa macho ya mwili huwezi muona,si mara ya kwanza kusikia ushuhuda kuhusu uwepo wa Kanumba.
No wonder akina Gwajima wanaendelea kutajirika! Yaani kabisa uko serious na hii post yako?
 
Back
Top Bottom