Kwanini Mfalme Zumaridi na Makerubi wake wanatembea kama mazombie?

Kwanini Mfalme Zumaridi na Makerubi wake wanatembea kama mazombie?

Sema huyu mama ana kipawa cha juu Sana cha kuongea kwa kujiamini.
Hakika wanawake wanaweza hata wasipowezeshwa
 
Polisi nyoso sana.

Nilishaanza kumuweka sawa Zumaridi kupitia DM ya Insta yake. Wamenirushia ndege wangu dah
Mkuu kumbe tulikua tunapigana vita moya papaa ananikosha sana pale kati [emoji7]
 
Hakuna kesi pale hata kwa mwanasheria bushlawyer labda police tu ndo Wana bifu nae kwa kuwachana / kuwagomea sababu police hawakufuata taratibu za ukamataji.
Kuhusu ishu ya Kanumba ni true still yupo duniani kwa macho ya mwili huwezi muona,si mara ya kwanza kusikia ushuhuda kuhusu uwepo wa Kanumba.
Yap, Wamuache Mfalme Zumaridi ahubiri kama wenzie akina GeoDavie "ngurumo ya upako" na akina Lusekelo. Waache uonevu eti kwa vile tu ni mwanamke, huo ni unyanyasaji wa kijinsia, Mfume dume!
 
Back
Top Bottom