Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% kakomolewaNo wonder akina Gwajima wanaendelea kutajirika! Yaani kabisa uko serious na hii post yako?
Lakini zumarid si Mkristo,mfumo wake wa ibada si wa KikristoKama wakristo tunaamini Mungu anakaa ndan yetu , na sisi Ni punzi ya Mungu Kuna ubaya gan zumarid kujiita Mungu?
Mkuu kumbe tulikua tunapigana vita moya papaa ananikosha sana pale kati [emoji7]Polisi nyoso sana.
Nilishaanza kumuweka sawa Zumaridi kupitia DM ya Insta yake. Wamenirushia ndege wangu dah
Hii story iliishia njia au aliimalizaNina wasi wasi huyu Zumaridi huenda akawa mke wa Baba mkwe wako uliko enda kipindi cha Christmas.
Hakumaliza tukimuuliza mikwala mingiHii story iliishia njia au aliimaliza
Yap, Wamuache Mfalme Zumaridi ahubiri kama wenzie akina GeoDavie "ngurumo ya upako" na akina Lusekelo. Waache uonevu eti kwa vile tu ni mwanamke, huo ni unyanyasaji wa kijinsia, Mfume dume!Hakuna kesi pale hata kwa mwanasheria bushlawyer labda police tu ndo Wana bifu nae kwa kuwachana / kuwagomea sababu police hawakufuata taratibu za ukamataji.
Kuhusu ishu ya Kanumba ni true still yupo duniani kwa macho ya mwili huwezi muona,si mara ya kwanza kusikia ushuhuda kuhusu uwepo wa Kanumba.