Kwanini Mfalme Zumaridi na Makerubi wake wanatembea kama mazombie?

Sema huyu mama ana kipawa cha juu Sana cha kuongea kwa kujiamini.
Hakika wanawake wanaweza hata wasipowezeshwa
 
Polisi nyoso sana.

Nilishaanza kumuweka sawa Zumaridi kupitia DM ya Insta yake. Wamenirushia ndege wangu dah
Mkuu kumbe tulikua tunapigana vita moya papaa ananikosha sana pale kati [emoji7]
 
Yap, Wamuache Mfalme Zumaridi ahubiri kama wenzie akina GeoDavie "ngurumo ya upako" na akina Lusekelo. Waache uonevu eti kwa vile tu ni mwanamke, huo ni unyanyasaji wa kijinsia, Mfume dume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…