OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sasa umekuja kututembelea au umehamia hapa?Umeamua kuja kunitangaza na huku?
Mimi sio wa kuondoka leo wala kesho,tutabanana tu hapo hapo.
kwa nini asiulizwe? sababu ni nini,labda mwenyeji anataka kuandaa nauli asije kushtukizwaKusema kweli maisha yetu yameegemea sana Umagharibi lakini Kuna mambo ambayo hautupaswi kuayaiga, yabaki huko huko, na mfano wake ni Hilo la kumuuliza mgeni swali Hilo.
Yote mawili kwa pamoja,wazungu wanasema Two in One.Sasa umekuja kututembelea au umehamia hapa?
Hakuna uwezekano wa kuiandaa hiyo nauli bila kumuuliza?!kwa nini asiulizwe? sababu ni nini,labda mwenyeji anataka kuandaa nauli asije kushtukizwa
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za kiafrika.
Nimepokea mgeni,kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi,sitaki kutembelewa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa umekuja kututembelea au umehamia hapa?
Hapana mkuu mgeni ni baraka ww km hali yako ni ngumu muweke wazi tu haina haja mfichane km atamua akomae ni yy ila sio kumuuliza unaondoka lini ni km unamkimbiza.kwa nini asiulizwe? sababu ni nini,labda mwenyeji anataka kuandaa nauli asije kushtukizwa
Ikiwa unapata ujasiri wa kuuliza mgeni unaondoka lini oooh my friend wewe miongoni mwa kizazi Che serpent.Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa πππππ
kwa nini aone namkimbiza. Kwa nini asichukulie swali langu positiveHapana mkuu mgeni ni baraka ww km hali yako ni ngumu muweke wazi tu haina haja mfichane km atamua akomae ni yy ila sio kumuuliza unaondoka lini ni km unamkimbiza.
Wengine makabila yetu ndo unatafuta kutengwa tu maana km maisha yako ni magumu ni bora kusema ila sio kujifanya una roho kigirikiKuna siku nilikua naangalia movie nikaona mama mzazi kaja as a surprise mwanae akamuuliza what are u doing here? Mama akajibu i came to visit. How long will u stay mama akajibu two weeks ikapita... nikawaza mama yangu nimuulize what are u doing here and how long will u stay si ntabaki yatima mie [emoji2302][emoji2302][emoji2302][emoji2302]
πππ eti roho ya kigirikiWengine makabila yetu ndo unatafuta kutengwa tu maana km maisha yako ni magumu ni bora kusema ila sio kujifanya una roho kigiriki
Mfano ww unaenda kusalimia sehem umefika unaulizwa lini unaondoka si utajisikia vibaya sana.Haya tuwaachie wazungu sisi tusiige kila kitu mkuu.kwa nini aone namkimbiza. Kwa nini asichukulie swali langu positive