Kwanini mgogoro wa palestine na israel unavuta hisia za watu wengi duniani

Kwanini mgogoro wa palestine na israel unavuta hisia za watu wengi duniani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Mgogoro wa ardhi baina ya Palestine na Israel unavuta Sana hisia za watu wengi ulimwenguni

Huu mgogoro ni wa ardhi. Tukiangalia kuna migogoro mingi Sana ya ardhi duniani.
Mfano:
1) India na Pakistan
2) China na India
3) China na Philippines
4) Nigeria na Cameroon
5) Tanzania na Malawi
Migogoro ipo mingi, kwanini huu mgogoro unavuta Sana hisia za watu ulimwenguni?
Tunaona dini mbalimbali zikijiingiza. Serikali nyingi ulimwenguni zinajiingiza. Kuna nini kwenye huu mgogoro?

Wataalamu mtujuze
 
Back
Top Bottom