chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Kuna kujipamba na kujiremba, tofaut ipoKwani hawaruhusiwi kujipamba??
Subhanallah....πKwani hawaruhusiwi kujipamba??
We ulijuaje ni Mwanaume? Ulimuuliza jina au Jinsia? Je kama ni Others?Ebu ngoja niende moja kwa moja kwenye mada leo nilikutana na kijana ana heleni masikio yote na puani ana kipini na nyusi ana wei na kichwani nywele Katia rangi yaani mpk ujue ni mwanaume umuone usoni.....moja kwa moja nikawaza na kujiuliza aya mabadiliko ni usasa au nini iki yaaani mwanaume mweupeee kama yai.....ananukia kama sijui nini daah ebu jamani sisi wazamani shida nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna nongwaaa khaaaahSio Kila Mwenye umbo la kiume ni mwanaume, usidanganyike. Mwanaume ana chetezo anajifukiza udi, Hilo punga zaba vibao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMtoa mada lazima uelewe si kila mwenye "BOLO" ni mwanaume!wengine wanayo ya urembo tu,wengine KAMA chaja za kobE inapelekewa moto nayo inapeleka moto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kujiremba sana π π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]