Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Nenda kawasaidie kupika
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?

= alibadili
 
Mapishi ni sehemu ya utamaduni wa jamii husika hivyo basi watu wa mwambao wa pwani wamerithi utamaduni wa kiarabu na hawa wengine wao wamerithi utamaduni wao wa asili au wa watawala wao wa kikoroni hivyo ni dhahiri waarabu ni watu wanopenda sana vyakula vyenye harufu zenye mvuto (mahanjumati) kitu ambacho si saana kwa sisi katika tamaduni zetu
 
Vizuri vina mafuta kwa hyo wanazingatia kanuni za afya
 
Mi najua kupika ...nA ni mkristo....huyo mwny mgahawa asiejua kupika labda katokea kishumundu babaa anguu
 
Waarabu(waislamu) wanamchango mkubwa sana katika dunia ya sayansi na Teknolojia. ..hizo Algorithms zinazo tumika katika laptop zenu zinastem from pioneers katika hizo fields, Al Khwarizmi n.k. Hizo namba unazotumia pekee zinaitwa 'Arabic numerals' na mengine mengi tu. Tusikurupuke jamani
Amejibu kiushabiki ndio tatizo lake...
 
Pale, Turiani Morogoro kuna Mangi mmoja wanamuita Masawe, aisee jamaa kwa kupika Supu ya mbuzi kali ni balaa... Sijui anaweka nini hiyo Supu yake maana ni so delicious...
Hata pale mlandizi kuna jamaa anapika supu ya mbuzi tamu balaa
Bei yake iko juu ila wateja kibao
 
Back
Top Bottom