Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kula Wakristo siyo hoja sana kwao. Ni urithi wa kizungu. Waliokwenda Uaya, vyakula vyao siyo vitamu ki hivyo! Waarabu wanajali sana kula ndio maana viungo vingi vina soko Uarabuni. Ni part ya Uislamu nadhani! Wanafundishwa nadhani madarasa! Mwambao wote wanajua kulemba chakula. Stand to be corrected!
Upo sahihi Mkuu
Itoshe kusema hongera zao waislamu kwa hili endeleeni kuboresha afya zetu kwa vyakula vizuri
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Kulikuwa na shida gani ya kutaja mikoa husika badala ya kuhusisha dini mbona waislanu wengi wanakula nguruwe na siyo ishu kabisa
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Tunaongiza kwa mapishi na hakuna ubishi na kama unabisha nenda kwenye mgahawa wa kiti moto au mbuzi na nyama choma kwenye baa zilizo maarufu utaelewa nazungumza nini. Hakika tunaongiza.
 
Hii mada ina ukweli 100% ukienda kwenye migahawa ya waswahili misosi Yao ni ya kiwango cha juu, mi mwenyewe nina mpango wa kumuoa muislam nimbadilishe dini awe ananipikia misosi ya viwango vya kempisky na Serena
 
Pale, Turiani Morogoro kuna Mangi mmoja wanamuita Masawe, aisee jamaa kwa kupika Supu ya mbuzi kali ni balaa... Sijui anaweka nini hiyo Supu yake maana ni so delicious...
Mambo ya supu na nyama choma hao majamaa wanajua sana
 
Ukweli ni kwamba sisi wakristu kwenye suala la mapishi tupo shallow sana.
Nijuavyo mm kupika ni juhudi za mtu binafsi.....mtu akitaka kujua kupika sio laZima awe islamic.....juhudi zako tu...utajikuta unapika each and everything! !
 
Waarabu(waislamu) wanamchango mkubwa sana katika dunia ya sayansi na Teknolojia. ..hizo Algorithms zinazo tumika katika laptop zenu zinastem from pioneers katika hizo fields, Al Khwarizmi n.k. Hizo namba unazotumia pekee zinaitwa 'Arabic numerals' na mengine mengi tu. Tusikurupuke jamani
Taja vitu ambavyo mwarabu kagundua, kwa nini huandikie mate wakati wino Upo
 
Mkuu ninakuunga mkono, mfano mimi nikiwa Dar maeneo ya posta nitajitahidi nimalize shughuli zangu ata kwa kuchelewa nije kula lunch matata hasa pilau na makorokoro mengine pale magomeni butiama au basmatt jamaa wanapika hatari.
 
Faiza unapenda kukosoa watu, wakati wote tumeelewa hamna mzungu huku useme hajaelewa


Sikosoi nawapa darsa la bure. Ni masahihisho tu.

Mbona hata mimi huonyeshwa namna sahihi ya kuandika mambo emngi tu humu, Kiswahili na Kingereza na nnayoona ni kweli basi nafurahi sana kwa kuwa nimefundishwa kitu kipya. Elimu haina mwisho.

Penda sana kuingia kwenye mtandao kwa kujifunza. Utafaidika.
 
Kuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri
Mwambao haimilikiwi na mwarabu, ni mtu wa Tanga, ila nakubali wana vyakula vizuri nimekula sana hapo...mtaa wa ndovu
 
Kama kuna ukweli fulani, labda kwa sababu wengine hawana muda wa kusoma elimu dunia basi wanashinda jikoni.
Mkuu ni malezi tuu sio elimu wala kukosa muda, kama huamini chukua binti wa kikristo mwenye degree na binti wa kiislam mwenye degree waambie wakupikie chakula au wape pesa kiasi sawa kwa matumizi ya home au kujipendezesha alafu urudi uniambie nani fundi.
 
Ndio maana nina mpango wa kwenda kuchukuwa jiko pande za Tangaaaaaaaaa....(Vyakula vizuri vingi vinanogeshwa kwa nazi, sasa mbara na nazi wapi kwa wapi).

Nilikuwa namuambia bibi mkubwa wangu akipika chapati zile anazotupikia nyumbani na akaamua kuziuza basi hata sh 2000 kwa chapati moja angepata soko... uchawahi kuona chapati ina chapters. Sio kwamba nasifia ndio ukweli wenyewe.
 
Si wanajifanya wazungu bby,dady nyiiingi kazi kukaa uchi tu eti wanajifanya wa kishua lkn wasichana wetu bana we acha tu ukikuta ajui kukarangiza Mara chache sana
 
nimejaribu kufuatilia humu nione kama ina uhusiano zaidi dini ama muingiliano na jamii ya kiarabu,sijapata jibu...I believe it has more to do with muingiliano na jamii za kiarabu (ambao wengi wao ni waislamu)....
 
me sipingi ukweli ila nnachopinga aina ya post wkt kuna mataifa yalianza km hv mwishowe leo hayakariki,,unajua chimbuko IS?fatilia then utajua,,okey am sorry if I vex you in anyhow brother!
Wacha uongo wa kitoto ww! Hebu tudanganye ww hilo chimbuko lako la ISIS unavyojua...[emoji23]
 
Back
Top Bottom