Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Waislamu kwenye kula hawana mpinzani duniani hata motoni...

Nawakubali zaidi kwenye kufinya matonge usiombe upangiwe sahani moja na mtoto wa madrasa utaishia kula punje...

Misosi yao ni mitamu kwa kweli na wana varieties nyingi....

Msilamu mnyime hata papuchi sio sufuria la ubwabwa...
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Kwa Nini upate shida mkuu! Hili nalo ndo mpaka ufungue thread hapa? Kama Mighahawa ya Kikristo haikupi chakula unachosema kitamu! Nenda kwenye Mighahawa ya Kiislamu ukale....! Simple.....!!!
 
Hivi na swala LA dini kweli au ni kwasababu ya spices wanazozitumia easy Africa sana sana mwambao tumekuwa influenced na spices zakiarabu na kihindi ndo maana tukionja vyakula vingine tu naona havina test lakini inawezekana vina test more natural kuliko vilovyowekwa spices nyingi.
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Hakuna mahusiano kati ya mapishi na dini, unachopaswa kujua ni kwamba, hao wa kina mama Zena mama Hamisa, Mama Iddi huolewa wengi kwa mme mmoja,
na hivyo hulazimika kufanya mama ntilie ili kujipatia kipato, ndiyo maana wengi wao wana migahawa, na kwa kuwa ni wengi, unakula kwao zaidi na kuzowea mapishi yao!
 
Hakuna mahusiano kati ya mapishi na dini, unachopaswa kujua ni kwamba, hao wa kina mama Zena mama Hamisa, Mama Iddi huolewa wengi kwa mme mmoja,
na hivyo hulazimika kufanya mama ntilie ili kujipatia kipato, ndiyo maana wengi wao wana migahawa, na kwa kuwa ni wengi, unakula kwao zaidi na kuzowea mapishi yao!
Si kweli
 
Chakula cha watu wa pwani ni kitamu maana kuna kila aina ya viungo na pia watu wa pwani wajuzi sana kwa limbwata na mambo ya ndele so ukionja chakula chao unapagawa unaweza ukawa unatoka Matejoo unaenda kula maji ya chai.
 
Bila shaka mumeo unamlisha notes zinazonukia harufu nzuuuuuri ya wino.

Kusoma kwako kukusaidie kujitambua ili kuyamudu mazingira ya sasa na yajayo.
Mazingira yajayo ni kujua kuwa ipo siku utakuwa mke, na huna budi kutimiza majukumu yako ikiwa ni pamoja na kumpikia mumeo. Vipo vitu vingi vinavyoongeza upendo, hata hili pia lina mantiki.
Hujachelewa, chukua hatua.
wanawake wengi siku hizi.....marks zao zinaondokea kwenye kupika.......hawajali hilo kama ni sehemu ya upendo.....kuustawisha....
 
Back
Top Bottom