Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

Wenyewe wanatuita mbwa

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761
Uongo huo, mnatengeneza kila aina ya uongo, tunawafahamu.

Soma Qur'an inasemaje:

Qur'an 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.
 
Alikuwa anawagombanisha saudia na iran hili apate tenda ya kuuza silaha na kujifanya anaweka ulinzi sasa hv nchi za saudia na iran zimepatana anahangaika tu.
Muda si mrefu atafungasha vilago. Patriot imeshajulikana ni jibwa koko haliwezi kung'ata. Pale hakuna ulinzi ni zuga tu. Wa hutu kutoka Yemen walikuwa wanajipigia tu kiulaini
 
Kitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.

Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.

Umeelewa. Kijana? Uwepo wake kuilinda Saudi Arabia ni kwa naslahi yake 100%.
Halafu mitambo yake ikafumuliwa na makombora ya buku ya wayemen
 
Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.

Yemen Saudia na iran zimeisha patana na sasahivk anatafutiwa sababu ya kutimuliwa hapo. USA alikuwa anapika sumu dhidi ya majirani ilo awe na uhakika wa kukaa hapo sasa kaishashitukiwa
Unataka kusema waarab wote hawana akili mpk wagombanishe maan nchi zote za kiarabu zina migogoro ya wao kwa wao misri vs Algeria , Libyia vs Misri , Saudia vs Yemen , Afghanstan vs Pakistan etc je hawa waarabu hawana akili mpk kila mgogoro wao uwe umeanzisha na USA
 
Alikuwa anawagombanisha saudia na iran hili apate tenda ya kuuza silaha na kujifanya anaweka ulinzi sasa hv nchi za saudia na iran zimepatana anahangaika tu.
Kwamba Saudia ma Iran hawana akili kujua wanagombanishwa ila ww mvaa chupi made in China ndo umejua , si ndio ?
 
Uongo huo, mnategneza kila aina ya uongo, tunawafahamu.

Soma Qur'an inasemaje:

Qur'an 49:10
Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe.

Hehehe halafu nikikumbuka namna hao miungu wenu waarabu hutesa wanawake wa Kiafrika kule kwao wanapokwenda kufanya kazi za nyumbani, yaani mlichagua mabwana makatili sana kuanzia kwa mtume mwenyewe tangu alipokua anagegeda katoto ka miaka 9.
 
Kitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.

Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.

Umeelewa. Kijana? Uwepo wake kuilinda Saudi Arabia ni kwa naslahi yake 100%.
Kwahiyo Marekani ndio anaijenga Saudi Arabia kiuchumi? Kwanini Allah ameshindwa kuijenga hiyo nchi bila kutegemea Marekani wanaomuabudu Yesu Kristo?
 
Wana uwekezeji mkubwa hapo. Wanalinda maslahi ya mabepari wa marekani hapo na maslahi mapana ya nchi yao
 
Wana uwekezeji mkubwa hapo. Wanalinda maslahi ya mabepari wa marekani hapo na maslahi mapana ya nchi yao

Sasa hapo si ndio nyumbani kwa mohammed wenu ambapo nyote huwa mnang'ang'ania kwenda, mbona palindwe na mnaopenda kuita kafir.
 
Hayo unayoongea Saudi Arabia hawayajui. Kwenye Gulf war Saudi Arabia wenyewe waliita Marekani ije kuilinda dhidi ya Saddam Hussein na Marekani ikamtimua Kuwait alikokuwa ashateka nchi.
Wewe Mndendeule wa Songea na sijida yako usoni huwezi elewa haya mambo.

Mwaka 2017 Saudi Arabia ilipoiwekea blockade Qatar, Qatar ikaita Turkey kuilinda na ikanunua silaha Marekani hasa F-16. Huwezi elewa hivi wewe unadhani zile familia za kifalme ni masheikh kumbe wala bata tu hayo mambo yako ya kiimani wala hawayazingatii
Kitu kizito hiki kwa Ustaadhi toka mtaa wa Migelegele [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo si ndio nyumbani kwa mohammed wenu ambapo nyote huwa mnang'ang'ania kwenda, mbona palindwe na mnaopenda kuita kafir.
Huwezi kuzuia serikali na mipango yake, mbona hata Israel nchi ya ahadi lakini ushoga ni ruksa na ni haki za raia, hivyo muhimu yale maeneo matakatifu hakuna anae fanya uharibifu
 
Unataka kusema waarab wote hawana akili mpk wagombanishe maan nchi zote za kiarabu zina migogoro ya wao kwa wao misri vs Algeria , Libyia vs Misri , Saudia vs Yemen , Afghanstan vs Pakistan etc je hawa waarabu hawana akili mpk kila mgogoro wao uwe umeanzisha na USA
Na moroko na Algeria
 
Hawalindi bure wanalipwa kama wewe unavyo weza kuwapa kazi kampuni ya ulinzi , kwani wana mwaga mavi humo msikitini?

Mbona na mikanzu yenu mumeshindwa kulinda nyumbani kwa miungu yenu....mumeacha mnaowaita kafir walinde......hehehe bure kabisa.
Hata hayo mafuta isingekua kwa akili za mzungu hamngeyapata.
 
Mbona na mikanzu yenu mumeshindwa kulinda nyumbani kwa miungu yenu....mumeacha mnaowaita kafir walinde......hehehe bure kabisa.
Hata hayo mafuta isingekua kwa akili za mzungu hamngeyapata.
Wale wanalinda Maslahi yao nyumba ya Mungu haina ugomvi na mtu
 
Back
Top Bottom