Kwanini Misafara ya Nyerere mpaka Mkapa haikuwa na gari za wagonjwa kama ilivyo kwa Marais waliofuatia?

Kwanini Misafara ya Nyerere mpaka Mkapa haikuwa na gari za wagonjwa kama ilivyo kwa Marais waliofuatia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
 
Katika hi Mada yangu ( huu Uzi wangu ) leo Kipaumbele changu Kikubwa kitakuwa ni Kusoma tu Comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe Mjuvi wa Mambo mengi hasa yale yaliyojificha / yaliyofichwa.
Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
 
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Shida ni kwamba una akili mbovu tu, kwani hujui nini ambacho unataka kujua nyau wewe njoo hapa karibu 365 tule vitu boya wewe
 
Misafara ya siku hizi mirefu sana ( inapeleka kuwa na nyomi la watu, wazima, wagonjwa na wafu wanao tembea lolote laweza tokea )..
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
 
Acha kuwaza ujinga ... No advancement katika technology wala sio huo ujinga unaouwaza
 
Gari la wagonjwa tu? Kuna mpaka gari la zimamoto. Ila hili la wagonjwa sijui wanamtibu nani ikiwa msafara mzima wana afya njema na hakuna mgonjwa
 
Sio gari ya wagonjwa ile ni gari ya hufuma ya kwanza

Huduma ya kwanza huwepo popote penye watu wengi

Mfamo kwenye mikutano ya hadhara,kwenye mechi nk

Mleta mada ile sio gari ya wagonjwa ni gari ya huduma ya kwanza
 
Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
Nimecheka mno.
 
Sio gari ya wagonjwa ile ni gari ya hufuma ya kwanza

Huduma ya kwanza huwepo popote penye watu wengi

Mfamo kwenye mikutano ya hadhara,kwenye mechi nk

Mleta mada ile sio gari ya wagonjwa ni gari ya huduma ya kwanza
Scientifically huyo Mtu anayepatiwa First Aid Kitabibu anaitwa Mhitaji Huduma ya Kwanza au Mgonjwa?

Tatizo lenu mmekariri kuwa Mgonjwa ni yule tu anayeenda Hospitali na ama Kutibiwa pale au Kulazwa na kwamba Wengineo wenye Changamoto za Kiafya hawaitwi Wagonjwa.

Acheni kunilazimisha niendelee Kuwadharau kwa Upeo wenu mdogo.

Na nakushangaa kuna Siku hapa hapa JamiiForums ulisema Hunipendi na Ukanitukana vile vile ila katika Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa huwa unazifungua, unazisoma na hata Kuchangia kama ilivyo kwa hii.

Kulikoni?
 
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Ni kutokana na maboresho kulingana na nyakati
 
Dunia imebadilika watu wana chuki na viongoz wao so kuwadungua no rahisi wakiwa kwa gari ya wazi hasa kwenye msafara.rudi kwa President Kennedy utaona hatari ilivyo.
Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
 
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Mambo yanabadilika Genta..
Hata Marekani baada ya Kennedy kufariki kwa kuvuja damu nyingi, sio tu waliamua tutembea na ambulance bali wanatembea na ambulance pamoja na damu ya dharura la kundi la rais wao.

Hivyo haya ni mabadiliko, lolote laweza kumkuta rais, ugonjwa au ajali au hata kushambuliwa
 
Back
Top Bottom