GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilishaKatika hi Mada yangu ( huu Uzi wangu ) leo Kipaumbele changu Kikubwa kitakuwa ni Kusoma tu Comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe Mjuvi wa Mambo mengi hasa yale yaliyojificha / yaliyofichwa.
Wa sasa huwa wana spid kali kama wanakimbiza mwizi 😂😂waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
Wanaume wangap uliowaona wamevaa boksa badala ya vyupKwa nini zaman watanzania wanaume walikua wanavaa chupi lakini sasa wanavaa boxa?
Ata mimi zaman nilivaa miaka ya 60Wanaume wangap uliowaona wamevaa boksa badala ya vyup
Shida ni kwamba una akili mbovu tu, kwani hujui nini ambacho unataka kujua nyau wewe njoo hapa karibu 365 tule vitu boya weweKatika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Hiz avatar zenu zinachanganya nilidhan bint niombe mungu kumbe kiumen[emoji41][emoji41][emoji41]Ata mimi zaman nilivaa miaka ya 60
Acha zako mkuu sio kiume tu ni kidume hasa [emoji38][emoji38]Hiz avatar zenu zinachanganya nilidhan bint niombe mungu kumbe kiumen[emoji41][emoji41][emoji41]
Nimecheka mno.Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
Scientifically huyo Mtu anayepatiwa First Aid Kitabibu anaitwa Mhitaji Huduma ya Kwanza au Mgonjwa?Sio gari ya wagonjwa ile ni gari ya hufuma ya kwanza
Huduma ya kwanza huwepo popote penye watu wengi
Mfamo kwenye mikutano ya hadhara,kwenye mechi nk
Mleta mada ile sio gari ya wagonjwa ni gari ya huduma ya kwanza
Ni kutokana na maboresho kulingana na nyakatiKatika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.
Halaf kwa nin kipind cha Mchonga,Ruksa na Mzee wa lupaso wakitokaga kumpokea mgeni eapoti walikua wanampandisha gari la wazi na kumpitisha barabara ya uhuru mwendo mdogomdogo huku tukipungiana mikono lkn waliofata waliongeza spidi ya magar yao na njia wamebadilisha
Mambo yanabadilika Genta..Katika hi mada yangu (huu Uzi wangu) leo kipaumbele changu kikubwa kitakuwa ni kusoma tu comments zenu ili nami GENTAMYCINE niwe mjuvi wa mambo mengi hasa yale yaliyojificha/yaliyofichwa.