Nyerere alikuwa ni Kiongozi. Ila kwa sasa tuna watawala.Hakuna asiye muhimu katika ujenzi wa nchi.enzi ya Nyerere scale ya mshahara ulikuwa mmoja kwa wanaolingana elimu bila kujali unafanya bandari Tampa tra au serikalini na malalamiko hayakuwepo
Kwel kabisa yan ni changamoto sanaNyerere alikuwa ni Kiongozi. Ila kwa sasa tuna watawala.
Sisi atuna kazi na posho ya mtu siku mkaguzi akija kuuliza hizo posho zote ni za nini utajibu ww unaezila ila sisi tunalia na mishaara tu posho achana nazoHalaf serikalin mshahara sio ishu ishu n posho mm n afsa misitu sehem flan siitaji mshahara wa kawaida tu ila ss nna posho ambazo nkizikusanya kwa mwezi inafika mpk milion 1.7 kila mwezi na mda mwengine inazid lakin mshahara laki 5 tu ss mm utanifananisha na nani kwa mfano hufika hadi mwaka sigusi kamshara kangu
Mnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tijaSisi atuna kazi na posho ya mtu siku mkaguzi akija kuuliza hizo posho zote ni za nini utajibu ww unaezila ila sisi tunalia na mishaara tu posho achana nazo
Na hii ndiyo njia sahihi kabisa. Badala ya kuishi kwa manung'uniko maisha yote, ni bora tu kuwaachia kazi yao.Mnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tija
Haya sio malalamiko hii ndo kazi ya mtandao atuwez kujadil matako ya gigi kilasiku hata kama unaona akuna tija basi angalau tupoteze mda mtandaoni kwa kujadil mambo haya unayosema ayana tijaMnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tija
Mishahara serikalini ni ya kuangaliwa upya,. Manung'uniko kwa baadhi ya Watumishi yanakwamisha maendeleo ya Taifa.Tanzania kuna tatizo moja ambalo mimi silielewi kabisa, inawezekanaje watu mna elimu sawa mmoja alipwe pesa nyingiiiiii kuliko mwingine kwa sababu ambazo azieleweki?
Kwa mfano Mhasibu wa cheti wa bandarini anakuwa na mshahara mkubwaaa kuliko hata mhasibu wa diploma wa taasisi kama hospital au mashuleni. Hili linawezekanaje?
Inakuaje mlinzi wa getini bandarini analipwa pesa kubwa kuliko CO au Muuguzi au mwalimu wakati yeye ni ngazi ya cheti tu?
Kwanini mshahara upangwe kutokana na uzalishaji na sio mpangilio mzuri? Kwanini mishaara isifanane kutokana na elimu?
Hii habari ya huyu anazalisha kingi kuliko huyu ni dharau kwahyo mwalimu hana maana kwenye jamii?
Ni kwel kuna watu wanalipwa pesa ya kula tu hata tv kununua mpaka achukue mkopo hii ni aibu wakat kuna wengine tena wanaelimu za chiniiii zaid wanalipwa pesa nying sana na akuna cha ajabu wanachofanya ni ujanja ujanja tuMishahara serikalini ni ya kuangaliwa upya,. Manung'uniko kwa baadhi ya Watumishi yanakwamisha maendeleo ya Taifa.
Ndio hicho sio lazima iwe sawa ila isiwe mtu wa kiwango chako akuzid mshaara had mara sita ya mshaara wakoMsililie muwe sawa, lilieni wa chini waongezewe. Ifanyike kama standardization isiyo rasmi.
Wewe utak mishaara mikubwa?Wanaopenda mishahara mikubwa BOT wametangaza nafasi fanyen haraka
Huko halmashauri mambo hayaendi, miradi imekwama na upigaji juu kwa sababu watu hawana pesa.Ni kwel kuna watu wanalipwa pesa ya kula tu hata tv kununua mpaka achukue mkopo hii ni aibu wakat kuna wengine tena wanaelimu za chiniiii zaid wanalipwa pesa nying sana na akuna cha ajabu wanachofanya ni ujanja ujanja tu
Alf kuna limtu linakwambia hooo huyu analipwa zaid kwasabab anazalisha zaid yan wasomi wetu ni ovyo sana jitu alijui hata linatetea nini hiv vitu sio siasa elimu ieshimiwe sio maala pa kazi kwahyo mwasibu analipwa kutokana na ofisi na sio elimu,ww umeona wapi mambo hayo?Huko halmashauri mambo hayaendi, miradi imekwama na upigaji juu kwa sababu watu hawana pesa.
Kuna jamaa yupo halmashauri muhasibu analipwa TGS D halafu mwenzake NSSF analipwa 1.5M+ sasa huo MOYO wa kufanya kazi atautoa wapi.
KAMA NCHI TUMEKWAMA KWA KWELI.
Usikute na wewe una phd kama mwigulu.nchi hii mikosi mitupuKwani ambao wamefundishwa vizuri wote ni Madaktari? Acha ufinyu wa fikra..
Ukweli ambao haupo tayari kuuridhia ni kwamba kuna kada ni muhimu mno kulinganisha na zingine na zinapaswa kupewa kipaumbele katika maslahi.
Hii nchi bora uzima aisee kuna watu wanatetea vitu hata avielewek kwel swala la mpishano wa mishaara ni la kutetea kwel???hii keki ni yetu sote watu walipwe kwa uwiano sio walipwe kupitia maali pa kazi sio sawa na akuna muhimu zaid ya mwenzieUsikute na wewe una phd kama mwigulu.nchi hii mikosi mitupu