Kwanini Mishahara ya Watumishi wa Taasisi za Umma inapishana?

Penye michuzi mingi fitina ni nyingi na kupigwa chini ni chap
 
Halaf serikalin mshahara sio ishu ishu n posho mm n afsa misitu sehem flan siitaji mshahara wa kawaida tu ila ss nna posho ambazo nkizikusanya kwa mwezi inafika mpk milion 1.7 kila mwezi na mda mwengine inazid lakin mshahara laki 5 tu ss mm utanifananisha na nani kwa mfano hufika hadi mwaka sigusi kamshara kangu
 
Sisi atuna kazi na posho ya mtu siku mkaguzi akija kuuliza hizo posho zote ni za nini utajibu ww unaezila ila sisi tunalia na mishaara tu posho achana nazo
 
Sisi atuna kazi na posho ya mtu siku mkaguzi akija kuuliza hizo posho zote ni za nini utajibu ww unaezila ila sisi tunalia na mishaara tu posho achana nazo
Mnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tija
 
Mnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tija
Na hii ndiyo njia sahihi kabisa. Badala ya kuishi kwa manung'uniko maisha yote, ni bora tu kuwaachia kazi yao.
 
Mnachelewa vijana kwa uoga huo ss msilalamike kuhusu mishahara kama ukiona haitoshi unaacha kazi n bora kufanya ivo na weng wameacha kazi kuliko kulalamika ambako hakuna tija
Haya sio malalamiko hii ndo kazi ya mtandao atuwez kujadil matako ya gigi kilasiku hata kama unaona akuna tija basi angalau tupoteze mda mtandaoni kwa kujadil mambo haya unayosema ayana tija
 
Mishahara serikalini ni ya kuangaliwa upya,. Manung'uniko kwa baadhi ya Watumishi yanakwamisha maendeleo ya Taifa.
 
Mishahara serikalini ni ya kuangaliwa upya,. Manung'uniko kwa baadhi ya Watumishi yanakwamisha maendeleo ya Taifa.
Ni kwel kuna watu wanalipwa pesa ya kula tu hata tv kununua mpaka achukue mkopo hii ni aibu wakat kuna wengine tena wanaelimu za chiniiii zaid wanalipwa pesa nying sana na akuna cha ajabu wanachofanya ni ujanja ujanja tu
 
Wanaopenda mishahara mikubwa BOT wametangaza nafasi fanyen haraka
 
Msililie muwe sawa, lilieni wa chini waongezewe. Ifanyike kama standardization isiyo rasmi.
 
Msililie muwe sawa, lilieni wa chini waongezewe. Ifanyike kama standardization isiyo rasmi.
Ndio hicho sio lazima iwe sawa ila isiwe mtu wa kiwango chako akuzid mshaara had mara sita ya mshaara wako
 
Ni kwel kuna watu wanalipwa pesa ya kula tu hata tv kununua mpaka achukue mkopo hii ni aibu wakat kuna wengine tena wanaelimu za chiniiii zaid wanalipwa pesa nying sana na akuna cha ajabu wanachofanya ni ujanja ujanja tu
Huko halmashauri mambo hayaendi, miradi imekwama na upigaji juu kwa sababu watu hawana pesa.

Kuna jamaa yupo halmashauri muhasibu analipwa TGS D halafu mwenzake NSSF analipwa 1.5M+ sasa huo MOYO wa kufanya kazi atautoa wapi.

KAMA NCHI TUMEKWAMA KWA KWELI.
 
Alf kuna limtu linakwambia hooo huyu analipwa zaid kwasabab anazalisha zaid yan wasomi wetu ni ovyo sana jitu alijui hata linatetea nini hiv vitu sio siasa elimu ieshimiwe sio maala pa kazi kwahyo mwasibu analipwa kutokana na ofisi na sio elimu,ww umeona wapi mambo hayo?
 
Usikute na wewe una phd kama mwigulu.nchi hii mikosi mitupu
Hii nchi bora uzima aisee kuna watu wanatetea vitu hata avielewek kwel swala la mpishano wa mishaara ni la kutetea kwel???hii keki ni yetu sote watu walipwe kwa uwiano sio walipwe kupitia maali pa kazi sio sawa na akuna muhimu zaid ya mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…