0036 savage
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 189
- 238
- Thread starter
-
- #121
Sasa ujinsia unahusikaje hapo????Sawa mama, nisamehe bure nimekosea kukupa dozi kubwa kuliko uwezo wako.
Nikiongeza hapa Kwasababu umeshataja jinsia, itakua ni ukatili wa kijinsia...ila nimeelewa why umeshindwa kujenga hoja na kuanza kutaka kufanya personal attacks ambayo nayo umeshindwa, ni kawaida ya wanawake kutumia hisia kuliko logic.
Nisamehe mama, ngoja nikuache ache kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ujinsia unahusikaje hapo????
Kwahyo post yangu ni hisia au sio ????[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa sababu hamtumii logic ila hisia, post zako zinajieleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hisia nyingi kuliko logic.Kwahyo post yangu ni hisia au sio ????
Ww akil auna humu atujuani jinsi umeniita mm jamaa kivipi?mbona unaleta habari za kike hapa ushajua mimi mwanamke kwahyo nini????itafuta kuwa uliomba msaada jins ya kujiunga chuo?au itaongeza mishahara kwa watumishi wa umma wenye mishahara kandamizi?Hisia nyingi kuliko logic.
Baada ya kukata pumzi unaanza kujitetea we ni mwanamke [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kwahyo sababu ni kuzalisha si ndio ?Taasisi zinazo zalisha hulipana pesa kubwa
Ww akil auna humu atujuani jinsi umeniita mm jamaa kivipi?mbona unaleta habari za kike hapa ushajua mimi mwanamke kwahyo nini????itafuta kuwa uliomba msaada jins ya kujiunga chuo?au itaongeza mishahara kwa watumishi wa umma wenye mishahara kandamizi?
Ujaelewa kwasabab unaukike ndani yako ndo maana uelewiSasa hapo umeandika nini,
Zaidi ya hisia za kike kike.
Kuomba kwangu chuo na mishahara kuna hisiana nini we mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ukiwa na ukike haulewi[emoji23][emoji23][emoji23]Ujaelewa kwasabab unaukike ndani yako ndo maana uelewi
Medicine ipo tangu kuumbwa kwa dunia hawa madaktari wa sasa enzi hizo walikuepo natural healers physicians matabibu na waganga hawa wote walikua wakipewa kipaumbele na jamii zaoKwani daktari ni nani?
Kwa mujibu wa MCT (Medical Council of Tanganyika), daktari ni kuanzia level ya degree (MD au dental surgery/ sina uhakika kuhusu bachelor ya clinical medicine), hii ni katika dhana ya kutibu ndio maana nime refer MCT.
Kwa hiyo japo hujasema zamani ni ipi, lets assume miaka 100 iliyopita kwa mazingira ya Tanzania hatukua na madaktari hasa wazawa.
Kwani wanaovaa stethoscope wote ni madaktari?
Karibu mkuu utoe darsa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afisa msitu unaendeleaje mkuu?Halaf serikalin mshahara sio ishu ishu n posho mm n afsa misitu sehem flan siitaji mshahara wa kawaida tu ila ss nna posho ambazo nkizikusanya kwa mwezi inafika mpk milion 1.7 kila mwezi na mda mwengine inazid lakin mshahara laki 5 tu ss mm utanifananisha na nani kwa mfano hufika hadi mwaka sigusi kamshara kangu
Medicine ipo tangu kuumbwa kwa dunia hawa madaktari wa sasa enzi hizo walikuepo natural healers physicians matabibu na waganga hawa wote walikua wakipewa kipaumbele na jamii zao
Medicine ni noble professional take it leave it
Niko salama afsa usalama wa taifaAfisa msitu unaendeleaje
Njoo huku kwenye mashirika ya umma kijana.
Huku tunafanya kazi kwa malengo na si kufanya kazi tu kwakuwa mmeajiriwa.
Walinzi huku wote tuna magari