Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimepokelewa[emoji847][emoji23][emoji23]
Hongera kwa kulea
Kama mimi nkiwa na mimba nataka mgegedo hasa miezi mitatu ya mwanzo,je mkeo hapati hali kama hyo?
Sasa akiniambia anajisikia vile au hivi nitabisha vipi mkuu?Hayo yote ni maigizo ya huko huko mjini, wamekuwa wakifundishana na kupania... sikuwahi kuyasikia vijijini!
Haswaa kiongoziMke mjamzito ana burudani zake bana weh [emoji1787]
ILikuwa zamani. Hivi sasa tunalea wajukuu
Sasa akiniambia anajisikia vile au hivi nitabisha vipi mkuu?
Kazi tuliyobaki nayo Ni kuwatimizia tuuh
Kwani kuna tatizo gani mkeo akikuhenyesha? Kuna kipindi hata wewe huwa unamhenyesha, punguza pride mkuu.Kwanini usibishe na kukemea, au ndo mahaba... basi utahenya huku mwenzio akikung’ong’a tu.
NDIO na HAPANA.Kina mama nauliza,kwani ujauzito ni maradhi??
The situation is real na vingine tunajikaza navyo tu hatusemi, mfano mjamzito usiku anashindwa kulala kabisa we umelala na hakuamshi anakuacha tu ustarehe zako. Wengine hamu ya kufanya mapenzi huisha kabisa lakini hatakunyima miezi yote tisa kuna siku atakupa ikiwa yeye hajisikii chochote, utafanya huku ukimkera mwenzio, Mfano mwingine suala la harufu hapa huwa na balaa kila mjamzito kuna harufu lazima iwe inamsumbua, na harufu zenyewe hazikwepeki maana zinatuzunguka kwenye mazingira yetu, ukitapika sana mbavu zinauma zinabana yaani kila kitu shida. Kuna mengi mkuu.....binti kiziwi
Umewahi kuwa mjamzito?
Tupe ushuhuda wa kweli, the situation might be real but overrated... maigizo ni mengi kuliko uhalisia.
Ndio mimi nimewahi, Una uhakika gani kuwa wanawake wa vijijini mimba haziwasumbui, Umewahi kuwa mjamzito kijijini? Au umeoa kijijini? Una wake wangapi ambao unaweza kuutumia uwingi wao kuthibitisha kuwa wanawake wa kijijini mimba haziwasumbui eti kwa sababu tu wanaenda shamba, hata wanawake wa mjini wanaenda makazini na kwenye biashara ninini unajaribu kuitengeneza kama hoja hapa?Ewe binti kiziwi
Maelezo yako ni matamu sana, too sweet words to be true.
Kunyima sex kipindi chote, mimba ni miezi miwili tu (7,8,9)... huwezi kuhesabu kuanzia 0-9 wakati hata shambani unaenda.
Na kwanini zisumbue mijini tu!
Swali la msingi, umewahi kuwa mjamzito?
Unapenda mno kuweka ujumuishi katika maelezo yako na hapo ndipo matatizo yanapoanzia.Naam binti kiziwi, here we go!
Hatushundani tunaeleweshana, kwa faida ya wengi... asante kwa uzoefu na uchambuzi wako.
Kutaja kwangu kijijini ni sawa tu na wewe ulivyotaja wanawake wa mjini, kama wanaweza kwenda makazini huwezi kutetea kuwa vipindi vyote ni 'mzigo' kwao... hiyo ndo hoja yangu.
Sote tunaelewa masaibu ya ujauzito, inajulikana na inaelezeka kitaalamu... hoja ya OP hapa mezani ni ule usumbufu kwa mwanamme wake.
Hapa ndo inakuja tofauti ya uhalisia na maigizo, wengi imekuwa ni mkumbo na kukamia kisa tu ana mimba!
Mimba is nothing special, hata viumbe wengine hubeba mimba na wanapitia hali sawa sawa... lakini hawabagui majani ya kutafuna.
Unapenda mno kuweka ujumuishi katika maelezo yako na hapo ndipo matatizo yanapoanzia.
Kwa heshima ya binadamu, naomba utengue mstari wako wa mwisho uliouandika, ni kweli mimba sio kitu special “especially ukiwa huibebi wewe” lakini angalau usifananishe hisia za binadamu na za mnyama asiye binadamu.
Idadi ya wingi na uchache we unaipataje Kashaulo? Yaani umeipatia wapi? Unajibu kwa uhakika sana hata unanitisha, mimi nimekuwa nikijibu kuwa, wengine ndio wengine hapana hao ninao waita wengine binafsi sifahamu ni wengi au wachache.Ujumuishi ndo afya ya mjadala, kumbuka hapa hatujadili mtu mmoja mmoja au kundi fulani tu... hivyo naomba usichukulie kama tatizo.
Pia, binadamu kama wanyama wengine hubeba mimba kwa jinsi yao... haiondoi heshima wala utu wake kumlinganisha nao.
Kutaka tumuone spesho ni ubinafsi tu, lakini kihisia hana tofauti ukiacha kile mnaita 'utashi' sijui! Naomba nisitengue kauli, labda unipe hoja yenye mashiko.
The fact that kuna wanaosumbua na wasiosumbua, tena wasiosumbua ni wengi kwa idadi... inatosha kuchukulia kuna uwezekano wa hao wasumbufu kutia chumvi. Japo wapo wa ukweli.
Je, hayo masaibu husababishwa na mazingira, mtindo wa maisha au ni genetically?
Idadi ya wingi na uchache we unaipataje Kashaulo? Yaani umeipatia wapi? Unajibu kwa uhakika sana hata unanitisha, mimi nimekuwa nikijibu kuwa, wengine ndio wengine hapana hao ninao waita wengine binafsi sifahamu ni wengi au wachache.
Hilo swali la mwisho, Mimi nimezunguzia uzoefu kama mwanamke ambaye ninaishi na kuongea na wanawake wenzangu, swali hilo kwa mimi layman litakuwa gumu maana linahitaji mtaalamu kulijibu.