Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?



La kupima kwa nguvu mikoani SIO KWELI HATA KIDOGO.
Ila tu watu wa vijijini huamasika kirahisi kuliko waishio kwenye miji mikubwa na Majiji.
Nimefanya sana uhamasishaji wa kupima kwa hiari bila kutumia kitisho chochote.
 
Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Watanzania ni wavivu wa kusoma...Sasa si hiyo ramani inaonesha? haya basi ni Pemba, 0.3%
 
Nilishawahi kupewa sababu kama hii pia
 
Utafiti wowote hutegemea sample, ina maana katika utafiti huu sample iliyochukuliwa yalingana kwa mikoa yote, hiyo kusema kwamba Njombe wengi wanafika kupima ni hoja muflisi...na kama ndivyo Mbeya nayo vp?Au Iringa au Ruvuma, nako kuna hospitali hizo hizo?
 
kwa sababu mkoa wa njombe wakristo ni wengi,ushahidi angalia rate za maambukizi especially kwa mikoa yenye waislam wengi kama dar,tanga zanzibar n.k ndo utajua wapi wachafu wa matendo
Waislam wengi ndio wanapenda sana kubanjuana tena kavu kavu sema tu wao mara nyingi wanatulia kwa mmoja kama wakipendana
 
Unaweza kuniambia kuna hospital gani iringa ya kulingana na ikonda au ilembila? Ukifika kwenye hizo hospital ndo utajua kisemwacho kipo au hakipo...
 
Watanzania ni wavivu wa kusoma...Sasa si hiyo ramani inaonesha? haya basi ni Pemba, 0.3%

Soma comment yangu uielewe vizuri kabla ya kukurupuka kama umekanyaga kaa la moto,hiyo comment yangu ina maswali mawili na niliandika hiyo comment yangu hapa kabla ya hiyo ramani kutumwa hapa,
Hiyo ramani imetumwa hapa baada ya comment yangu na sio kabla,

Acha kujifanya mjuaji na hayo mawazo yako ya kukariri.
 
Umemjibu kwa ukali sana mkuu..
 
Kwa akili yako kaskazini uilinganishe na mikoa maskini ya watu wavivu? shame on you
 
Ukiishi mikoa ya Iringa na Njombe ishu ya kumpata binti wa kinyarukolo haiitaji pesa wala mbwembwe nyingi kama huko mikoani kwenu. Sie huku ni uhodari na umahiri wako wa kulamba mademu mitama au ngwala. "niangusage"
 
Tatizo hawapimi, sasa jidanganye rate ni ndogo ukafe. Kwanza wanaongoza kwa ngono, pili condom kupata ni shida.

Tatu ni wazuri sana kwa kuficha ukweli
ww acha kujidanganya angalia...rate ya HIV iraq,iran,syria,saudi,misr,na nch za kiislam then compare na nchi za kikiristo...kama italy ,england,na kwngine ndo utajua kama mafundisho ya kikiristo yana walakin mkubwa
 
Kupitia huu uzi umenifanya niende kwa doctor mwingine nimuulize kuhusu hili na nilipouliza majibu ni kuwa wao kama watu wa afya wamegundua kuna watu wanapima wanakutwa wameathirika kwakutoani anaenda sehemu tofauti hadi mara 3 na akitumia majina tofauti kote anakutwa hivyo anaanza kutumia dawa, kuna watu walidanganya kuwa walipima tena baada ya kutumia dawa wakawa hawana hivyo wengi wao wanaenda tena kupima na kukutwa nao, hivyo takwimu zinazidi kusoma wakati ni elimu ndogo sana watu wa sehemu husika wameikosa na sasa wameweka utaratibu wa kumfanya mtu aliyekwisha tambulika asipime tena ili kuepuka kumpima mtu mmoja mara tatu hadi tano...
 
Nadhani hili jibu ndo nilitoa mimi baada ya kuuliza mahali ila watu hawakuelewa
 
mmhh mkuu umedanganya makete sio wilaya mpya ile tangu miaka ya nyuma iringa ni mkoa makete ni wilaya sijui huo uongo kakupa nani
 
Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Pemba,sababu sina uhakika,lakini nahisi hawaendekezi sana uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…