Lelommassy
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 426
- 398
Pemba! only 0.3%Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pemba! only 0.3%Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Ingekua baridi ndio sababu basi nchi zenye baridi kama Rusia na nyinginezo Europe sidhani kama kungekua na watu! Wote wangakwisha kufa kwa Ukimwi.Baridi ndio sababu kubwa ya watu kugegedana Njombe, nadhani ndio mkoa wenye baridi kali kuliko yote tz.
Unafikiri ni kwanini Pemba ikawa na idadi ndogo kiasi hicho?Pemba! only 0.3%
Sijui! pengine ni population ndogo therefore watu wanajuana sana.Unafikiri ni kwanini Pemba ikawa na idadi ndogo kiasi hicho?
wanafanya idadi ya population kwa asilimia mkuu ila fahamu wagonjwa wa ukimwi wako wengi dar na mbeya kuliko njombe kama unavo fikiriSawa mkuu, hiyo ni takwimu ya "majiji" ya Africa ingawa hatuna authenticity ya hizo takwimu. Ila kwa Tanzania bado Njombe inaongoza.
Mkoa wa Dar una watu 5million, 6.9% takwim zinaonyesha wako na maambukiz, hao ni kama watu 345000.Mkoa wa Njombe baada ya kuvunjwa kutoka Iringa, una watu kama 800000 tu. Kwa silimia hizo tajwa utakuta ni watu kama 120000 tu ndiyo wako na maambukizi. Hivyo nakubaliana na ukweli kuwa Dar ina watu wengi ambao ni HIV +ve, lakini kwa kuwa Dar ina watu wengi, hiyo inakua sawa na soda kuijaza kwenye pipa la maji.wanafanya idadi ya population kwa asilimia mkuu ila fahamu wagonjwa wa ukimwi wako wengi dar na mbeya kuliko njombe kama unavo fikiri
Yawezekana ikawa kweli, nilipata story ya pemba kule hamna gest uchwara nyingi , na wala huchukui mtoto wa kike hovyo hovyo labda uwe umetoka oman!Pemba,sababu sina uhakika,lakini nahisi hawaendekezi sana uzinzi.
PembaMtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
hoja dhaifu sana kama mtoto wa darasa la 5 anajielezaNjombe Hasa Hasa Kule Makete Ndo Kunaongoza Kwa Maambukizo Ya Ukimwi,sababu Hasa Ni Hali Ngumu Ya Uchumi Inayotokana Na Hali Ya Hewa Na Udongo Wa Makete Kutosupport Kilimo Hvyo Kufanya Vijana Weng Kukimbilia Dar Es Salaam Kusaka Maisha Na Huko Ndiko Wanakoambukizwa Na Kurud Nao Makete!.Idadi Kubwa Ya Maho
waambie hawa hawajui dar ndo inaongoza kwa wagonjwa..ikifatiwa na mbeyaMtafute mkoa wenye idadi kubwa ya waathirika, mfano waseme dar wako wagonjwa wangapi, njombe wangapi, mbeya wangapi? ....mtapata jibu tofauti
wanafanya idadi ya population kwa asilimia mkuu ila fahamu wagonjwa wa ukimwi wako wengi dar na mbeya kuliko njombe kama unavo fikiri
waambie hawa hawajui dar ndo inaongoza kwa wagonjwa..ikifatiwa na mbeya