Kwanini mkojo ulifanywa najisi na dini za zamani za Mashariki ya kati?

Kwanini mkojo ulifanywa najisi na dini za zamani za Mashariki ya kati?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwanini vitabu vya dini za zamani viliamua mkojo na hedhi kuwa vitu najisi?

Mkojo una tofauti gani na jasho?
Kwa nini mkojo ni najisi wakati jasho sio najisi?

Kuna tatizo gani mwanamke akienda katika ibada katika siku zake kama amevaa pedi ?
 
Kwa nini vitabu vya dini za zamani viliamua mkojo na hedhi kuwa vitu najisi?

Mkojo una tofauti gani na jasho?
Kwa nini mkojo ni najisi wakati jasho sio najisi?

Kuna tatizo gani mwanamke akienda katika ibada katika siku zake kama amevaa pedi ?
Hii ndio kwanza naisikia leo
 
Back
Top Bottom