Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
And you stop non sense mbinguni ndo mwenzini?""MWEZINI NDIO MBINGUNI""
Let stop nonsense!.....
Una uhakika hilo haliwezi kutokea?Haiwezekani binadamu kutoka nje ya sayari DUNIA.
Kuna watu wanaishi nje ya dunia hiiHaiwezekani binadamu kutoka nje ya sayari DUNIA.
Kuna watu wanaishi nje ya dunia hii
Una uhakika hakuna binadamu kama sisi wapo nje ya planet earth?Nikusahihishe kdg. Hakuna watu wanaoishi nje ya Dunia hii. Bali kuna Melanated viumbe wanaofanana kama watu WEUSI wanaoishi nje ya hii Dunia.
PatheticOnly Lord Jesus Christ Massiah.I see the power of God&Superiority:
-Islam shall not live in me,also the hoax data till i land in Grave.Amen
True kwel ...alisikia adhana na inasemekana alibadili din na kuwa muislam ....
Baadaye alisilimu na kuwa mwislaam, Marekan ikamnyang'anya kila kitu ikaja mfunga na jela ikimshinikiza arudi kwenye din yake ya mwanzo
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?USHAHIDI NILIONAO NI KWAMBA HAKUNA MTU HATA MMOJA ALIEWAI KUKANYAGA KWENYE MWEZI.
A HIGH CLASSIFIED FILE linalohusu uzushi huo lilianikwa na astronomer William Rutledge ambae alikuwa kwenye LUNAR MISSION in NASA ktk mission 2 zilizokananikiwa na zile mbili zilizokafeli za Apollo 19 na 20 mwaka 1976.
Rutledge ambae kwa sasa anaishi Afrika Rwanda. Nanukuu:
According to William, both of these missions were "CLASSIFIEDBJOINT SPACE MISSIONS" resulting from collaborations between U.S and Soviet Governments. They do not appear on any roster of NASA missions for good reasons.
The purpose of these missions was to investigate a large object on the far side of the moon in the Delporte- lzsak region allegedly discovered and photographed during Apollo 15. Mwisho wa kunuku.
Anaendelea kujuza kuwa picha iliokagundulika ni spacecraft kubwa sana ambae ilicrash na kutelekezwa mwezini miaka ya kale.
SIRI KUBWA KTK MISSION HIZI KWA MAELEZO YANWILLIAM NI KWAMBA. KTK CHOMBO HICHO KILICHOGUNDULIKA. ILIKUWA MIILI 2 YA WANAWAKE NA WALIKUWA "WEUSI". Na ndio chanzo cha bwana William kuacha kazi ktk NASA na kuja AFRIKA KUTUBU NA KUELEZA KUWA ULIMWENGU HUU NI WA VIUMBE WEUSI KILA MAHALA.
Na hivyo viumbe vipo mwezini na ndio wanaomantain order rejea kitabu cha ENOCH, "THE WATCHERS" ambao ndugu zetu wengi humu wanasema MAJINI.
WATU WANGU WANAHARIBIKA NABKUTESEK KWA KUKOSA MAARIFA. TUFANYE TAFITI......
Bro achana nao hawa wasiojielewa.VIP kuhusu Adrian buzz?!
MKUU INA MAANA WATU WAMERITHISHWA IMANI POTOFU NA UONGO KIBAO? MFANO SIKU MOJA NILINSIKIA AFISA MMOJA WA TANAPA I.T.V JINSI BONDE LA MANYARA LINAVYOONEKANA VIZURI UKIWA KWENYE MWEZI KULIKO SEHEMU NYINGINE YOYOTE DUNIANI.JE NA HUO NI UZUSHI?
Kwanza jua Hakuna namna unaweza kusikia sauti mwezini sababu Hakuna atmosphere na hili halibadiliki either alifika au hakufika. Ni ajabu sana Kwa mtu aliye JF kutojua hili
Kurudi kwa swali lako, ukiniuliza mimi baada ya kuangalia madai ya pande zote mbili nitasema hakufika. Swali dogo tu toka 1969 Armstrong alipokanyaga mwezi Kama wanavyodai kwanini Hakuna attempt nyingine ya mtu kwenda mwezini ukizingatia technology ilivyokua hadi sasa
Neil Armstrong hakuwahi kuweka wazi imani yake na kabla ya kufariki aliweka wazi (wosia) mwili uchomwe moto na majivu yake yatupwe baharini na hivyo ndivyo ilivyofanywa 2012 baada ya kufariki na kuzikwa baharini. Sasa uislamu unaruhusu mwili uchomwe moto?Tatizo ni kwamba Amstrong alibadili dini na kua Muislam wakati Buzz Aldrin hakubadili...so America kwa kuchukia Uislam wakaamua kumpoteza.
Mkubali mkatae ukweli ndo huo.
Sijaelewa ni Azaan Zungu ama Azaan ipi?Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?
=====
When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.
Source: wikipedia