kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Ahahaha eti kameza shokaSio wasumbufu kama Hawa wayza mbususu....kidogo tuu gesi imeisha mara bday unakuja or mdogo wangu amekimbizwa hospital kameza shoka....njaaa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha eti kameza shokaSio wasumbufu kama Hawa wayza mbususu....kidogo tuu gesi imeisha mara bday unakuja or mdogo wangu amekimbizwa hospital kameza shoka....njaaa tuu
Upo na uku😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌
🤣🤣🤣🤣NiacheUpo na uku😂😂😂😂😂
Nakuachaje sasa mfano🤷🏽♂️😂😂😂,alafu nili kumiso kwelo🤣🤣🤣🤣Niache
Haya bhanaNakuachaje sasa mfano🤷🏽♂️😂😂😂,alafu nili kumiso kwelo
ULiKua Wap ww kila nikikulia rada nyanja mbali mbali sikuoniHaya bhana
Aiseee acha kabsa mm kitu inaweza nitenganisha na hz pc mishangaz nkfo tu
Wachungaji wa kisasa nao hawafati maadili ya neno la Mungu akija mtu mwenye pesa kanisani hata kama mzinzi nk huyo ndo atathaminiwa Kwa kupewa vyeo ili wavune pesa zake, mambo siku hizi yamevurugika kote koteHata kanisani jana wametukataza hii tabia
Ni baby mama nini?Jana nimecheka sina mbavu baada ya kumsikia redioni mtangazaji mmoja maarufu mwenye sura nzuri na umbo kubwa kukataa katu kuitwa mshangazi. Ni mshangazi hasa ila hataki aitwe hivyo, kasema ni kuwashushia hadhi mashangazi wa ukweli ambao ni dada wa baba
watangazaji mabonge wako wengiNi baby mama nini?
Vijana wanataka utelezi wa watu wazima. Vikazie na usikubaliHawaamini umri ninaowatajia...wanasema aaa wapiii...basi nawaambia tuu wawe na adabu...
Watazunguuuuuka ila hii ndio sababu.Hakuna lolote zaidi ya kupenda kitonga
kumbe vijana ni hawa wavaa heleni