Kwanini mnapenda MISHANGAZI vijana?

Kwanini mnapenda MISHANGAZI vijana?

Tulikubaliana mshangazi ni kuanzia miaka mingapi??
Vijana wanataka utelezi wa watu wazima. Vikazie na usikubali
Ahaha wacheze wanapochezaga...tushawashtukia...ajira hawana wanataka tuwaajiri...sisi tupewe na ma husbands zetu halafu tuwalishe wao?? This is foolishness...
 
Back
Top Bottom