Ni leo tu kwenye gari siti nliokaa nimeona mshangazi na kakijana kadogo wanapeana mate nikasema hawa si wakamalizie waendapo au ndio ashiki zimejaa mpaka kichwani
Nmesikitika sana cc Fake P
Ahaha wacheze wanapochezaga...tushawashtukia...ajira hawana wanataka tuwaajiri...sisi tupewe na ma husbands zetu halafu tuwalishe wao?? This is foolishness...