Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Baba mtoto wako yupo wapi na kwa Nini kakuzalisha na kakutelekeza? Je Ni mume wa Mwanamke Mwenzio?Yupo kawaida na anayosema hayaapply kwenye taifa letu so cut us some slack.Mnazidisha idadi ya machokoraa tu!
Ulaya yes!!Nguvu nyingi inatumika kuwalinda ma single mothers...
Akili kweli unazo naona!!🤣🤣🤣Baba mtoto wako yupo wapi na kwa Nini kakuzalisha na kakutelekeza? Je Ni mume wa Mwanamke Mwenzio?
Aaaa wapi... Sio kweli.....Masingle mazas wapo karne na karne,hata uimpose rules/sheria kali namna gani watakuwepo tu....
AND,yes tuwapongeze kwa ujasiri wao, despite being in the society full of hate and discimination wameweza kuwa Courageous kuchukua such responsibility...
By the way kutokuzaa sio ndio kipimo cha usichana....
Unaweza ukawa msichana hujawahi kuwa na mtoto,kwa nje, lakini ume'ua' watoto zaidi ya watano.....
Mheshimu yule anaye heshimu uhai.....
Pendekezeni njia wholly itakayowafanya vijana wasiingie kwenye ngono na wakiingia wachukue njia za kujikinga,mimba na maradhi....
Ndiyo jibu gani sasa hiliAkili kweli unazo naona!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
uzuri wako umekubali kuwa single mother na single father wote hawako fit kuingia kwenye ndoa. Hiyo ndio point kuu.Kheri ya pasaka waungwana!
Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi.
Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU zinazowakandamiza na kuwaponda single mothers! Mnasahau kama hao walowatia mimba single mothers nao ni single fathers?
Nakubali katika maisha kuna kukosa na kukosoana lakini ningependa tuwekane sawa katika hili,haimaanishi kwasababu BAADHI ya single mothers hawana msimamo na vigeugeu basi wote wapo hivo.
Na kingine kama mtu ni single mum lazima uelewe kuna sababu ilopelekea hilo sidhani kama kuna mtu anaependa kulea mtoto peke yake bila ya sababu ya msingi.Au ukiachilia mbali hilo kuna baadhi wanaoamua kulea mwenyewe kwasababu the other part is not the right father figure for their child!Naamini si kila anayeweza kumimbisha mtu anapaswa kuwa baba!
Ningependa tuwekane sawa kuwa kuna single mother wa aina nyingi:
1. Kuna wadada wengi wanaoamua kujizalia tu kwasababu hakuna wanaume wanaoeleweka ambao wanakidhi viwango vyao na umri umeshatupa mkono mtu anaona ajizalie tu apate mrithi,wa aina hii naamini wanaweza kujimudu na kuhudumia watoto wao bila msaada wa mtu na ni watu wanaojielewa.
2. Kuna walopewa mimba ambazo wawili hao walikubaliana kuzaa pamoja na wakatengana kwasababu tofauti.Hawa mara nyingi wapo mguu ndani,mguu nje kwasababu kulikuwa na mapenzi na makubaliano kati yao kwahio ni rahisi kukumbushiana
3. Kuna walobeba ujauzito kibahati mbaya na mwanaume hayupo tayari kubeba majukumu.Wanawake wa kundi hili hawatakagi mahusiano na maex zao kiujumla kwasababu wanakuwa wameumizwa vyakutosha na wakishasonga mbele wamesonga.
4. Kuna walojibebesha mimba kwa matumaini ya kuolewa au kupata mwenza wa maisha au mteremko wa maisha(hawa ni wale ambao wanazaa hata na wanaume za watu).Hawa ni kundi jingine ambalo pia ni mguu ndani,mguu nje yaani anytime anarudiwa na kuachwa madhali yake yanamuendea.
But all in all mwishoni mwa siku kuna mwanaume alihusika katika hili kwa njia moja au nyingine.Kama ni kinga wanapaswa kutumia wote kujikinga na ujauzito usotarajiwa sasa ikiwa wewe unaenda kulala na mwanamke ambaye huna future nae kila kinga yoyote(kondom au uzazi wa mpango) unategemea nini hasa?
Tusihukumu single mothers kama wakosaji ni wao tu na wanaume ndo malaika mbona hamwahukumu single fathers?Au mnataka kusema wao ni tofauti kwasababu hawajabeba ujauzito.
Mtoto siku zote ni wamama ndio maana wamama ndio wanapata jukumu la kulea lakini tukipiga tathimini ya wanaume au ambao wamezaa tu ni single fathers naamini imepiku idadi ya wanawake.
Single fathers pia wanaweza kwenda kwa ex zao na kubinjuana so hakuna tofauti ya kusema ni single mothers tu sio Wife material kwasababu mnahofia wataliwa.Then tunaweza kusema Single fathers nao sio Husband material.This goes both ways kwa jinsia zote.
La muhimu ni kujuana vyema huyo single mum/ dad kabla ya kuanzisha mahusiano naye na mahusiano alokuwa nayo na ex wake lakini sio kuhukumiana!
Jibu linaloendana na ulichoandika kwani umefikiria outside the box dah 😅Ndiyo jibu gani sasa hili
Yaani umeongea bonge la pointi Rebeca 83!Salute to that madam!Masingle mazas wapo karne na karne,hata uimpose rules/sheria kali namna gani watakuwepo tu....
AND,yes tuwapongeze kwa ujasiri wao, despite being in the society full of hate and discimination wameweza kuwa Courageous kuchukua such responsibility...
By the way kutokuzaa sio ndio kipimo cha usichana....
Unaweza ukawa msichana hujawahi kuwa na mtoto,kwa nje, lakini ume'ua' watoto zaidi ya watano.....
Mheshimu yule anaye heshimu uhai.....
Pendekezeni njia wholly itakayowafanya vijana wasiingie kwenye ngono na wakiingia wachukue njia za kujikinga,mimba na maradhi....
Rahabu ni bibi aka Yesu ujue kwanza.
Na huyo kahaba, aliokoa familia yake yote.Ndio alikuwa kahaba
Hahaha mkuu home nimeshasepa kuna sehemu nipo kwa Mshikaji huku najichanga hela ya kodiWewe miezi m nne hiyo hyo si umefukuzwa kwenu; duration ya miezi nne inaonekana imekukaa Sana kichwani????
Aya umeshapata kwa kuishi;;
Wewe dogo unazingua sana. Wewe jana si ulianzisha sredi (thread) kwamba baba mkubwa amekupa notice ya siku 30 uondoke kwake? Umeshatoka na tayari kabla ya muda na kukamata single maza? Una laana wewe. Ukute ndio kitu ya baba mkubwa, utakula jeuri yako mjaa laana wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Katika pitapita zangu mitandaoni kuna mdada nilikutana nae anatafuta mchumba serious badae aje kuwa mume basi nikajikuta naanzisha mahusiano nae baada ya kudate nae zaidi ya miezi minne nimekuja kugundua kumbe ni single mother alizaaga na mume wa mtu ambaye anadai kipindi cha uchumba alimzalisha akamkimbia akaoa mtu mwingine hivyo alimtelekeza . Na kuhusu mtoto yupo wake kwa sasa yupo mama yake Kibaha anamlea .
Kiukweli huyu binti hajanikosea chochote ila Mimi kama sipo tiyali kuoa single mother staki kumdanganya kama nitamuoa wakati moyoni najua siwezi kumuoa hivyo naombeni ya kusitisha huu uhusiano bila kumuumiza huyu mdada