Kwanini mnawasakama walimu? Mbona wana mishahara mikubwa kuliko kada zingine?

Kwanini mnawasakama walimu? Mbona wana mishahara mikubwa kuliko kada zingine?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?..

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Tatizo siyo salary,hakuna posho nyingine tofauti na salary ndo maana life letu linakuwa gumu.
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?..

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Walimu wako vizuri ila kunahitajika maboresho kidogo kwenye sera za posho za walimu. Mfano pawepo posho ya zamu, posho ya maandalio maana maandalizi mengi ya kufundisha siku inayofuata yanafanyika Jana yake tena kwa muda ambao si wa kazi, posho ya kuwahudumia wanafunzi muda ambao si wa kazi n.k.Pia pawepo simina za kikazi zenye mshiko wa maana kama walipwavyo kada nyingine wanapokwenda semina.

Haya yote yakiongezeka kwenye mshahara wa mwalimu mambo yao yatakuwa Bomba.
 
Sasa kaka, afisa tehama halmashauri, au maendeleo ana posho gani nyingine? Tofauti na salalry
Huyo anaweza kuhamua kufuta baadhi ya transaction kwenye point of sales(POS) akala na wakusanya mapato. Pili ile ni idara ya habari mawasiliano na technologia kwahyo wana bajeti na fungu lao. Tatu safari za mara kwa mara na training za kila siku maana mifumo ya technologia inabadilika kila siku.
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.

Wangapi wanalipwa hiyo 800k
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Wasiojua ndio wanaongea pumba
 
Nikiwa Rais nitahakikisha walimu wanalipwa posho ya mazingira magumu, kwa wale wanaofanya kazi vijijini.

Kuna kijiji kimoja niliwahi kwenda barabarani wanavuka panya tu barabara zinaonekana huwa gari hazipiti kabisa network hamna ila kuna shule huko, ukitupa chupa ya maji watoto wanaikimbilia maana ni kitu ambacho hawajazoea kukiona yaani niliwaza mengi sana
 
Halafu nimechunguza siku hizi Kuna walimu wengi wa kujitolea huko mashuleni unakuta jamaa anafanya kazi bila kulipwa chochote so unakuta anakuta anakua mchafu mchafu na amekaa ki-local kiasi kwamba ualimu unadharaulika sana... Halafu kwa kuwa wapo wanaojitolea Bure so serikali imeamua kutoboresha chochote kwa sababu Kuna nguvukazi ya Bure....
 
Mshahara sio tatizo, unaweza kua na mshahara mdogo ila posho daily. Mwalimu anaweza kukaa mwaka hajawahi pata dili la laki tano!
Sasa hivi madili mengi na wao wanapata, seminar za walimu, kuandaa practical n.k. ambapo kuandaa practical ya siku 1 ni 500,000 kusimamia la saba na darasa la nne siku mbili, ni 500,000/ akienda seminar ya sequip si chini ya 1000,000/ mambo yanabadilika.
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Hawana posho
 
Kama wanamshahara mkubwa Kwa Nini maisha Yao huonekana kama ya mtu amejichokea?kumkuta mwalimu ana angalau ki ist ni wa kuitafuta Kwa tochi
 
Huyo anaweza kuhamua kufuta baadhi ya transaction kwenye point of sales(POS) akala na wakusanya mapato. Pili ile ni idara ya habari mawasiliano na technologia kwahyo wana bajeti na fungu lao. Tatu safari za mara kwa mara na training za kila siku maana mifumo ya technologia inabadilika kila siku.
Hizo training za kila siku ni zipi mkuu?, 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom