Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Hapo umesema kweli, lakini watumishi chini ya tamisemi hakuna wanachozidianaNi kwa vile tu walimu ni wengi kwa hiyo ni rahisi kuonekana.
Tatizo siyo salary,hakuna posho nyingine tofauti na salary ndo maana life letu linakuwa gumu.Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.
Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?..
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Walimu wako vizuri ila kunahitajika maboresho kidogo kwenye sera za posho za walimu. Mfano pawepo posho ya zamu, posho ya maandalio maana maandalizi mengi ya kufundisha siku inayofuata yanafanyika Jana yake tena kwa muda ambao si wa kazi, posho ya kuwahudumia wanafunzi muda ambao si wa kazi n.k.Pia pawepo simina za kikazi zenye mshiko wa maana kama walipwavyo kada nyingine wanapokwenda semina.Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.
Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?..
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Sasa kaka, afisa tehama halmashauri, au maendeleo ana posho gani nyingine? Tofauti na salalryTatizo siyo salary,hakuna posho nyingine tofauti na salary ndo maana life letu linakuwa gumu.
Huyo anaweza kuhamua kufuta baadhi ya transaction kwenye point of sales(POS) akala na wakusanya mapato. Pili ile ni idara ya habari mawasiliano na technologia kwahyo wana bajeti na fungu lao. Tatu safari za mara kwa mara na training za kila siku maana mifumo ya technologia inabadilika kila siku.Sasa kaka, afisa tehama halmashauri, au maendeleo ana posho gani nyingine? Tofauti na salalry
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.
Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Wasiojua ndio wanaongea pumbaNimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.
Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Sasa hivi madili mengi na wao wanapata, seminar za walimu, kuandaa practical n.k. ambapo kuandaa practical ya siku 1 ni 500,000 kusimamia la saba na darasa la nne siku mbili, ni 500,000/ akienda seminar ya sequip si chini ya 1000,000/ mambo yanabadilika.Mshahara sio tatizo, unaweza kua na mshahara mdogo ila posho daily. Mwalimu anaweza kukaa mwaka hajawahi pata dili la laki tano!
Hawana poshoNimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.
Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?
Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Halmashauri woote hawana posho.Hawana posho
Hizo training za kila siku ni zipi mkuu?, 🤣🤣🤣Huyo anaweza kuhamua kufuta baadhi ya transaction kwenye point of sales(POS) akala na wakusanya mapato. Pili ile ni idara ya habari mawasiliano na technologia kwahyo wana bajeti na fungu lao. Tatu safari za mara kwa mara na training za kila siku maana mifumo ya technologia inabadilika kila siku.
Jidanganyeni hivo hivo😆🤣🤣...........Kuna watu wapo TAMISEMI hawana hata miaka 10 kazini basic yao ni zaidi ya 2MHapo umesema kweli, lakini watumishi chini ya tamisemi hakuna wanachozidiana