demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nimetazama report ya mapato na matumizi ya klabu ya Yanga SC kwa msimu uliopita.
Yanga sc imeteangaza Kupata Faida ya million 581 katika msimu ulioisha 2022/23 .
Mapato Billion 17.8
Matumizi ni billion 17.3
BAKIO ni 581.
Ndugu zetu Simba wanakwama wapi katika kupiga hatua kama sisi.
Upi ushauri unao wafaa ili waweze kufika level zetu kifedha.?
Yanga sc imeteangaza Kupata Faida ya million 581 katika msimu ulioisha 2022/23 .
Mapato Billion 17.8
Matumizi ni billion 17.3
BAKIO ni 581.
Ndugu zetu Simba wanakwama wapi katika kupiga hatua kama sisi.
Upi ushauri unao wafaa ili waweze kufika level zetu kifedha.?