Kwanini Mo 'hatamuweza'Manara

Sasa Mo ashindane na manara kwa lipi.

Manara yupo nje ya game tayari,labda apeleke vita za kuihujumu klabu kwa kuchukua fedha huko kisha aanze kuhonga wachezaji ama marefa.

Ila kwa mifumo iliyopo sio manara akifanikiwa hata moja.

Labda atulie abaki kama shabiki tu.
 
Wasije kulogwa wakajitokeza kumjibu, wataumbuka, niliona kwa page ya Diamond alipomuunga mkono na kusema kuwa hata yeye Dai alijiunga simba kwa ajili ya amsha amsha za Manara...alivimba balaa[emoji16]
 


Umeiweka vema!
 
Wasije kulogwa wakajitokeza kumjibu, wataumbuka, niliona kwa page ya Diamond alipomuunga mkono na kusema kuwa hata yeye Dai alijiunga simba kwa ajili ya amsha amsha za Manara...alivimba balaa[emoji16]

Avimbe tu simba ilikuwepo kabla ya uyo domo na mropokaji kuw maarufu
 
Stop kidding us, yani Mo aondoke Simba kwa sababu ya Manara?!

Manara aachwe aropoke akichoka atajifia mwenyewe, hana ukubwa wowote mnamkuza bure tu hapa, hana ubavu wa kuiharibu image ya klabu, matokeo uwanjani ndio kila kitu kwa mashabiki.

Vile atakavyoendelea kupiga kelele na hapatakuwepo wa wakumjibu ndio atachokwa haraka na hao wanaomsikiliza, na Simba SC sio wajinga waanze kulumbana na Manara, yule ni kama mtoto wa mtaani tu.
 
Hiyo report ya faida ya Yanga SC kama unayo tuwekee hapa tafadhali, tusijekuwa tunajadili story za mitaani.
 
Ataishia kupiga kelele mwisho wa siku atachoka na Simba Sc hatarudi.

Aende huko GSM au Azam sasa wakampe usemaji wa Yanga / Azam kwani lazima awe msemaji wa Simba SC

Ukiachwa achika sio kumganda mwenzio kama kupe.
 
Kwa vile mashabiki wa Simba ni mbumbumbu huwa hawajishughulishi kuuliza vitu vigumu utawasikia imradi timu inashinda basi wao mashabiki wa Simba wanataka matokeo tu ya uwanjani na Kanji kawawini sana kwa hilo naye anapitia humo humo kutangaza bidhaa zake hawana ubavu wa kuhoji mkataba wowote unaotangaza bidhaa za mo kupitia klabu ya Simba ndio maana Rage hakukukosea kuita mambumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…