Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Nasikia baada ya kunyeshwa Banda na Mwihilu baadhi ya wanachama hawataki GSM aendelee wanasema jamaa anawapiga na wanahoji kama hizo fedha za Azam zipo kufanya nini mbona na Manji katimua zake!!!Wale ndugu zetu wameishi kwa tabu sana miaka hii mitano.
Furaha yao ni kuona tunarudi kwenye level yao.
Wanahoji mkataba wa Mo ila hawahoji kama kwenye mkataba wao GSM anawalipa ngapi ?Nasikia baada ya kunyeshwa Banda na Mwihilu baadhi ya wanachama hawataki GSM aendelee wanasema jamaa anawapiga na wanahoji kama hizo fedha za Azam zipo kufanya nini mbona na Manji katimua zake!!!
Aliiambiwa wapi hadharani?Mkuu,vipi kuhusu Manara kuambiwa kua anaihujumu Simba?
Unadhani hapo yeye Haji hakua anachafuliwa?
Hii imekaaje kwa wewe ambaye sio mpumbavu na sio mjinga?
Ingefaa anyamaze kabisa, unajua Manara=msukumaMbona ni ushauri mzuri tu kutoka kwa mtu msomi ule ujumbe una ubaya gani ndugu yangu hebu niambie ulivyouelewa?
Ingefaa anyamaze kabisa, unajua Manara=msukumaMbona ni ushauri mzuri tu kutoka kwa mtu msomi ule ujumbe una ubaya gani ndugu yangu hebu niambie ulivyouelewa?
Ingekua hakuambiwa unadhani huyo aliyemwambia hivyo Haji angekaa kimya bila kukanusha? Usipokanusha jambo basi hua ni kweli,hiyo ni simple principle.Aliiambiwa wapi hadharani?
Nimekuuliza aliambiwa hadharani ? Au privatelyIngekua hakuambiwa unadhani huyo aliyemwambia hivyo Haji angekaa kimya bila kukanusha? Usipokanusha jambo basi hua ni kweli,hiyo ni simple principle.
Nimekuuliza aliambiwa hadharani ? Au privately
Kama kaambiwa privately wewe umejuaje kua kaambiwa?Nimekuuliza aliambiwa hadharani ? Au privately
katoka mwenyewe na voice notes zakeKama kaambiwa privately wewe umejuaje kua kaambiwa?
Haji alisema,zile voice notes alimtumia Babra private ila yeye ndio akazivujisha.katoka mwenyewe na voice notes zake
Gaidi ? mbona naye alitekwa?🤣Mo ni gaidi alieiteka simba na anajimilikisha, biashara ni mchezo mchafu
Yanga imetengeneza faida kiasi gani mkuuKuna mambo nayafikiria, yananifanya nisiamini kuwa Manara amekosea ktk hili sakata.
Je ile tume sijui shirikisho la ushindani wa kimasoko/hisa lilikosea kuhoji uwekezaji wa Mo? Walikosea kuuliza Mo amekuwaje Mwenyekiti wa Simba? Yote yale waliyozungumza walikosea...
Unaamini hilo swala?Haji alisema,zile voice notes alimtumia Babra private ila yeye ndio akazivujisha.
Naweza kuamini coz limetamkwa,Unaamini hilo swala?
Unaweza kusambaza sauti inayokuzalilisha?Naweza kuamini coz limetamkwa,
Wewe kama huliamini unatumia reason ipi kutokuliamini?
Mkuu endelea kuamini unachokiamini,hatuwezi kufikia muafaka wa nini hasa kilichotokea,Haji na Babra wanajua lililotokea,Unaweza kusambaza sauti inayokuzalilisha?
Pia katamka mwenyewe kuwa ataisambaza.
Na kwa kuongezea tu sikuzote passion ndio hupelekea ubunifu zaidi na progressive output! Ukikipenda kitu utakifanya kwa ubunifu wa hali ya juu against all the odds na sikuzote focus huwa kwenye best impact to the audience!Mimi ni mmoja wa watu ninaokubali kabisa kuwa Manara alikuwa 'very unprofessional' mara nyingi sana. Na hata hiyo nafasi nimewahi Shauri Sana atolewe ..yeye na Jerry Muro niliwahi shauri watolewe wote huko nyuma.
Naweza sema Mimi sio mshabiki wa Manara lakini baada ya hili sakata. Nimegundua kitu kwa watu aina ya Manara...
Pascal Mayalla huwa anasema watu aina ya Manara 'wana hidden power'..
Hiki ndo nimekiona kwa Manara na naamini Mo hataweza kabisa kumzima Manara. Ukimtazama Manara anapoongea na historia yake yote utagundua kitu kimoja.
'passion'
Huoni 'Proffesionalism'..
Huoni 'ethics'
Huoni 'unafiki wala woga'
Manara siku zote amekuwa Manara
Anaishi kwa sheria zake ..lakini most important ana enjoy ushabiki wake..
Wanaosema nafasi ile inahitaji mtu more Proffesional wako sahihi lakin wanasahu kitu kimoja Tu..je mangapi hatuyafanyi ki Proffesional?
Wananchi watazoea hiyo Proffesionalism inayozungumzwa?
Utamaduni wetu na timu zetu za Kariakoo
Unaruhusu 'Proffesionalism' hiyo?
Au tunasahau na mashabiki wetu na mpira wetu watu kama Manara ndo haswaa wanazalishwa na kupendwa zaidi..?Pengo la Manara likijitokeza tutawapa nini mashabiki?
Manara alikuwa shabiki mkuu wa Simba zaidi kuliko mfanyakazi wa Simba.
Alikuwa maarufu kuliko yeyote Simba.
Hakupata hiyo kazi kwa kuomba.
Aliombwa.
Why watu wamtarajie aje a behave kama muajiriwa mwingine?
Bado atabaki shabiki mkuu wa Simba kuliko Mo hata kama hana title official hapo Simba.
Watu wenye passion na wako genuine bila kujali risks za kuwa open na genuine na wanayo ongea mara zote hushinda vita.
Manara ukimsikiliza anapoongea utaona.
Anaongea kama mshabiki na sio kama muajiriwa hajali lolote mradi anausikiliza moyo wake..Mo hatamuweza Manara..
Hahaha ila watu bwana, yani mtu hatakiwi kusema kwakua MO ataondoka?Sawa, MO siku mbili hizi anatangaza kuachana na Simba, huyo Albino hawe yeye Sasa mfadhili wa Simba yeye na ukoo wake, si mnasema MO anajinufaisha yeye club hainufaiki,Sasa anaondoka hili Simba hifanye vizuri zaidi
Na kwa kuongezea tu sikuzote passion ndio hupelekea ubunifu zaidi na progressive output! Ukikipenda kitu utakifanya kwa ubunifu wa hali ya juu against all the odds na sikuzote focus huwa kwenye best impact to the audience!
Proffessionalism has most to do with principles ila output yake iko limited inafikia mahali you will need somebody with passion and heart! Proffessionalism haiko connected na passion at all times thats why solution zake to problems ziko limited.
Mpira its a sport na iko connected sana na entertainment ya watu! We need a cheerleader like Manara to feel alive and enjoy the sport. Hatuhitaji mtu ambaye ataendesha mambo kama Lawyer sababu eti ni professional. Our teams weren’t built that way.
Ni swala la muda tu tutaona pengo la Haji Manara hasa morale ya timu iki drop!