Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

AbasMzeEgyptian

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
407
Reaction score
312
Nilitegemea kuwa Sydney angepewa nafasi ya kusoma brief bio ya Ally Sykes leo lakini nashangaa kuwa hakuonekana japo ndiye aliyekuwa pewa nafasi na familia pamoja na Sykes mwenyewe kuandika official Biography yake.
Mohamed+Said.png



InshaAllah natumai wana THE ABDULWAHID SYKES FOUNDATION pamoja na SAIGON watamfanyia Hitma pamoja na Symposium ya LIFE &TIMES OF ALLY SKYKES na records zingewekwa for future references







PART 7 IS MISSING





Maganga...
Kwenye msiba wa Ally Sykes niliombwa na watoto wake nizungumze kwa ufupi
maisha yake na nilifanya hivyo.

Hapo hapo tukiwa msibani kabla ya mazishi nilifanyiwa mahojiano na BBC na
gazeti la Citizen.

Ingependeza Wanamajlis na hili hulisema mara nyingi hapa kuwa ni busara
mtu ukufanya utafiti kidogo kabla ya kuandika.

Unaweza kusoma hapa chini baadhi ya yale niliyoeleza pale msibani katika wasifu
wake:
Mohamed Said: Ally Kleist Sykes 1926 – 2013 Mzalendo Muasisi wa TANU Aliyemwandikia na Kumkabidhi Julius Nyerere Kadi ya TANU Na. 1
 
Last edited by a moderator:
Hizi shughuli za kujikweza huwa haziwachoshi?
Mohamed Said halali mpaka anakonda kazi ni kuhubiri kwa nini ABC halafu zote pumba. Haya niambie na wewe na mada yako, kama angepewa nafasi ya kuhutubia, marehemu angefufuka?
 
Last edited by a moderator:
Hii ni habari au? Mkikosa chaku post basi mnaamua hata kupost ngano ilimradi uonekane umepost!

Umeshindwa kuihoji famili ya marehemu hicho ulichokitarajia?

Mods sio kila upuuzi lazima uwepo jamvini!
 
Kazi ya Mzee Mohamed Said ni uchochezi na siyo hilo jukumu ulilopenda wewe kwamba yeye akabidhiwe.

Ana jukumu zito ambalo limekwama la kuwa brain wash vijana wa kiislamu na kuijaza chuki jamii, usifikiri hao waliomnyima fursa hiyo ni wajinga.
 
Mohamed Said ana pumzi aisee! kwa ule umri humu JF si kazi ndogo!
Natamani kujua kama kuna anayemzidi umri humu JF tumpe zawadi maalum na kama hakuna tumtunze yeye.
 
mashaaaAllah kamjalia stamina maana ku deal na members wa JF si kazi ndogo
 
Utafanyaje kama kuna MTU zama hizi anashukuru Mungu kwakuwa hakuna mkristo kwenye kabila lake? Stupid fanatic
 
Mohamed Said ana pumzi aisee! kwa ule umri humu JF si kazi ndogo!
Natamani kujua kama kuna anayemzidi umri humu JF tumpe zawadi maalum na kama hakuna tumtunze yeye.
Na je kwa tunaomzidi umri maradufu utasemaje? Mohamed Said ni kijana mdogo sana, kazaliwa sisi wengine tayari tunavinjari madarasani kupata elimu dunia.
 
swali la msingi sana hili ngoja tusibiri majibu
Maganga...
Kwenye msiba wa Ally Sykes niliombwa na watoto wake nizungumze kwa ufupi
maisha yake na nilifanya hivyo.

Hapo hapo tukiwa msibani kabla ya mazishi nilifanyiwa mahojiano na BBC na
gazeti la Citizen.

Ingependeza Wanamajlis na hili hulisema mara nyingi hapa kuwa ni busara
mtu ukufanya utafiti kidogo kabla ya kuandika.

Unaweza kusoma hapa chini baadhi ya yale niliyoeleza pale msibani katika wasifu
wake:
Mohamed Said: Ally Kleist Sykes 1926 – 2013 Mzalendo Muasisi wa TANU Aliyemwandikia na Kumkabidhi Julius Nyerere Kadi ya TANU Na. 1
 
mashaaaAllah kamjalia stamina maana ku deal na members wa JF si kazi ndogo
Abbas...
Wallahi kuna mambo mengine mie huwa hayanipitikii hadi mtu aseme.

Mathalan hesabu ya maneno ambayo naandika kwa siku au vitabu nilivyopata
katika maisha yangu kusoma au nchi na miji niliyotembelea duniani kuanzia
CapeTown hadi New York na kwengineko hadi North Sea, Scotland sikwambii
kuona Bar Lev Line, Misri.

Watu niliopata kukutananao ambao wenyewe ni historia ya Afrika kama Jim
Bailey, Peter Colmore, Prof. Suleiman Nyang, Prof. Ali Mazrui, Prof.
Michael Lofchie
nk.

Watu mashuhuri ambao nimepata kuwafanyia mahojiano muhimu kabisa katika
historia ''tata,'' ya Tanzania - marehemu Ali Nabwa, Said Rashid, Hassan
Nassoro Moyo, Baraka Shamte, Prof. Haroub Othman, Ali Muhsin
na
mdogo wake Abdallah Barwani nk.

6mfRCojTMG9i2FGGQxXoR-3Dlxa6rTIDBvF7w0U8gp9VKKh36FW2ln-5ApgYhdikETkjQsPNiDCnoQ_GmQsIUzyDJr-klNQ30PCtOh4n6apxusj_kFQ0D2CY_a4rY8xdZpyt64C_jEnr1QMOUABUqxaisgcawJX5ivtd47CaRaaHMUFpuW5-_pdWTUs3lbNfuNV1VAHR5tOVULNnb199Q2Hwo-AzNqEr7rwVt5i0h_nPbIsGNXS5LapUwXGCIe0s2WDdeBUvY_8RxuoTytcWMCnsVAzrujUwR4utSCbs6XY2wJK_mnZzqf9EHXkjZ0j9DJyABruii6y83iNATURiHOSUqiX61ycsNoq-lhmLXenQRNm0_dbGyAuRTcVpLJMeQmKpXXnaCz3i9Szr73VIgTTJfzVLCm-1H-IMxRkyBytn0j5waACAAiLHbObr7rvizPQqG705B47enGH52McZHP8mOQNiT2jnaI9Lhi-gIAh-9Dbgn9yfvX9JQrVsfcCpwG5nD6hrFhEMB8uX6Y-_rD9-TWiJ42Q4dwu9NZgeTS6-ityIMerbUXpjz1n2rz1kGLf2c6TVUcEpNM1IWBpfgEGzMQ9QxxD1tU_ICLl6RqS7VvcODw=w876-h657-no

Kushoto: Farouk Abdullah, Mwandishi, Ali Muhsin Barwani na Abdallah Muhsin
Barwani, Muscat Oman

Sikwambii ile kusoma nyaraka binafsi za watu ambao wengine hawajulikani lakini
nyaraka zao ndizo zimebeba historia ya Tanganyika, kama nyaraka za marehemu
Germano Pacha, mmoja katika wazalendo 17 walioasisi TANU, Bilal Rehani
Waikela,
Mzee Kissinger nk.

Nimesoma barua za Kenneth Kaunda, Chief Thomas Marealle, Earle Seaton
katika nyaraza za Sykes, barua ambazo hadi leo mtafiti aliyebahatika kuziona ni
mimi peke yangu sasa zaidi ya miaka 60.

Nimepata ''exposure,'' utotoni ambayo wenzangu wengi wa Kariakoo hawakubahatika.

Mzee Said alinifunza kuvaa kwa ''occasion,'' na kufanya ''order,'' na kusoma ''menu,''
nikiwa mtoto mdogo sana achilia mbali kuniambukiza ''taste,'' yake ya muziki.

Kwa kweli namshukuru Allah.
 
Kwa hiyo Mzee Mohamed Said kwenye hizi YouTube clips umevaa kwa okesheni?

Ukipunguza udini kidogo, itakusaidia sana. Chuki zako kwa ukriso hazitazaa matunda, na kwa ulivyojinasib sijui kwanini exposure haijakusaidia kwenye hilo.
 
Hii ni habari au? Mkikosa chaku post basi mnaamua hata kupost ngano ilimradi uonekane umepost!

Umeshindwa kuihoji famili ya marehemu hicho ulichokitarajia?

Mods sio kila upuuzi lazima uwepo jamvini!
Na siyo kila wewe ukifikiliacho cha Upuuzi basi ndio kichukuliwe cha upuuzi
 
E="Samaritan, post: 17651222, member: 105109"]Kwa hiyo Mzee Mohamed Said kwenye hizi YouTube clips umevaa kwa okesheni?

Ukipunguza udini kidogo, itakusaidia sana. Chuki zako kwa ukriso hazitazaa matunda, na kwa ulivyojinasib sijui kwanini exposure haijakusaidia kwenye hilo.[/QUOTE]
Samaritan hili la chuki tushalizungumza sana hapa. Pitia nyuzi za nyuma.Wenye chuki ni hao ambao wanaumizwa na kusoma historia ya kweli na kuishia kunitukana. Soma hizo post juu hapo uone ghadhabu za wenye chuki. Hakika nimevaa kwa occassion. Hilo shati ni designer - Pierre Cardin na kofia yangu ni ya mkono. Nimo katika smart casual.
 
E="Samaritan, post: 17651222, member: 105109"]Kwa hiyo Mzee Mohamed Said kwenye hizi YouTube clips umevaa kwa okesheni?

Ukipunguza udini kidogo, itakusaidia sana. Chuki zako kwa ukriso hazitazaa matunda, na kwa ulivyojinasib sijui kwanini exposure haijakusaidia kwenye hilo.
Samaritan hili la chuki tushalizungumza sana hapa. Pitia nyuzi za nyuma.Wenye chuki ni hao ambao wanaumizwa na kusoma historia ya kweli na kuishia kunitukana. Soma hizo post juu hapo uone ghadhabu za wenye chuki. Hakika nimevaa kwa occassion. Hilo shati ni designer - Pierre Cardin na kofia yangu ni ya mkono. Nimo katika smart casual.[/QUOTE]

Ahsante mzee wangu. Naona unaendeleza dawa kwa vijana wasiojua ukweli. Haya, labda uwaulize historia ya Tanganyika iko wapi? Ambayo inataja wanaharakati waliopigani uhuru ukimwacha kiongozi mkuu aliyekuja baadaye (Nyerere).
 
Utafanyaje kama kuna MTU zama hizi anashukuru Mungu kwakuwa hakuna mkristo kwenye kabila lake? Stupid fanatic
Sooth neno, "stupid," ni matusi. Haifai watu kutukanana. Ungeweza kiungwana tu kutaka maelezo na sababu ya mimi.kushukuru.
Samaritan hili la chuki tushalizungumza sana hapa. Pitia nyuzi za nyuma.Wenye chuki ni hao ambao wanaumizwa na kusoma historia ya kweli na kuishia kunitukana. Soma hizo post juu hapo uone ghadhabu za wenye chuki. Hakika nimevaa kwa occassion. Hilo shati ni designer - Pierre Cardin na kofia yangu ni ya mkono. Nimo katika smart casual.

Ahsante mzee wangu. Naona unaendeleza dawa kwa vijana wasiojua ukweli. Haya, labda uwaulize historia ya Tanganyika iko wapi? Ambayo inataja wanaharakati waliopigani uhuru ukimwacha kiongozi mkuu aliyekuja baadaye (Nyerere).[/QUOTE]
Muddyb,
Ahsante sana.
Umenifurahisha kupita kiasi.
 
Sooth neno, "stupid," ni matusi. Haifai watu kutukanana. Ungeweza kiungwana tu kutaka maelezo na sababu ya mimi.kushukuru.


.

Mohamed Said, nakuheshimu kwa umri wako lakini kwa msimamo wako kuhusu ukristo na wakristo napata shida sana kukuheshimu. Mimi nimekufuatilia maandiko yako mengi hapa Jukwaani, nakuona kama mtu unayetafuta cheche kwenye bwawa la petroli.

Huna nia ya kuwaunganisha watanzania. Huna nia ya kuwaelemisha wasio waislamu masahibu (kama yapo) yanayowakumba waislamu. Usidhani kila asiye muislam ni adui wa uislam. Mimi huko bara nilikokulia sikuwahi kusikia wala kumuona muislamu. Muislam nimekuja kukutana naye shule, tena alipojitambulisha nilidhan uislam ni kabila maana daras zima tulijitambulisha kwa makabila yetu. Hivyo sikulelewa kuuchukia uislam maana sikuufaham. Sasa wewe hili unalisahau, unadhan wasio waislam wote wanaujua uislam na wanauchukia.

Msimamo wangu, kama kuna jamii ya kitanzania inaamini inakandamizwa au kudhulumiwa, basi njia sahihi ya kutatua tatizo ni kuwafanya watu wote waelewe tatizo na washiriki kulipatia ufumbuzi. Siamin ktk 'us against them strategy' ambayo wewe hupenda kuitumia. Pia wewe hauko rational-kuna wakati uliwahi kulalamika wabunge waislamu kuwa wachache ndani ya bunge na ukataka pawepo usawa. Sasa ukitaka usawa wakati kwa asilimia zaid ya 70 wabunge huchaguliwa na wananchi-hawateuliwi na mtu, huwa napata shida sana kukuelewa. Are you after affirmation or revenge?
 
Back
Top Bottom