Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

Mohamed Said, nakuheshimu kwa umri wako lakini kwa msimamo wako kuhusu ukristo na wakristo napata shida sana kukuheshimu. Mimi nimekufuatilia maandiko yako mengi hapa Jukwaani, nakuona kama mtu unayetafuta cheche kwenye bwawa la petroli.

Huna nia ya kuwaunganisha watanzania. Huna nia ya kuwaelemisha wasio waislamu masahibu (kama yapo) yanayowakumba waislamu. Usidhani kila asiye muislam ni adui wa uislam. Mimi huko bara nilikokulia sikuwahi kusikia wala kumuona muislamu. Muislam nimekuja kukutana naye shule, tena alipojitambulisha nilidhan uislam ni kabila maana daras zima tulijitambulisha kwa makabila yetu. Hivyo sikulelewa kuuchukia uislam maana sikuufaham. Sasa wewe hili unalisahau, unadhan wasio waislam wote wanaujua uislam na wanauchukia.

Msimamo wangu, kama kuna jamii ya kitanzania inaamini inakandamizwa au kudhulumiwa, basi njia sahihi ya kutatua tatizo ni kuwafanya watu wote waelewe tatizo na washiriki kulipatia ufumbuzi. Siamin ktk 'us against them strategy' ambayo wewe hupenda kuitumia. Pia wewe hauko rational-kuna wakati uliwahi kulalamika wabunge waislamu kuwa wachache ndani ya bunge na ukataka pawepo usawa. Sasa ukitaka usawa wakati kwa asilimia zaid ya 70 wabunge huchaguliwa na wananchi-hawateuliwi na mtu, huwa napata shida sana kukuelewa. Are you after affirmation or revenge?
Sooth,
Njoo na ushahidi kwa hizi tuhuma.

Historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ilivurugwa kwa makusudi kwa hofu
ya bure kuhusu Uislam na Waislam.

Nimeiandika historia hii na kkitabu kimechapwa.

Nimefanya na mihadhara ndani na nje ya Tanzania kwa mialiko ya wanaotaka
kujua ukweli.

Mada nilizowasilisha ndani na nje ya nchi zipo na kitabu nilichoandika kipo na
kimeshachapwa matoleo kadhaa.

Sijasikia popote pale kuwa kuna mtu katukanwa kisa kitabu cha Mohamed Said.

Hayo mengine sitakupa jibu mimi majibu watakupa Bergen (1981) na Sivalon
(1992)
 
Sooth,
Njoo na ushahidi kwa hizi tuhuma.
(1992)
Kwan hapa mahakamani? Kama wataka kuyakana maneno yako mwenyewe, hewala. Sisi wengine hatutakubali upotoshe jamii ya kitanzania maana tuna watoto ambao tunapaswa kuwaachia nchi salama kama tulivyoikuta.
 
Sooth,


Hayo mengine sitakupa jibu mimi majibu watakupa Bergen (1981) na Sivalon
(1992)

Mimi niko open-minded, nitavisoma nikipata wasaa. Lakini pia nikutaarifu nimkisoma 'Mwembechai Killings' cha Njozi ambaye nae amemquote sana Sivalon. Pia nimesoma 'The Darkside of Nyerere Legacy' ambacho pia ni kitabu chenu pendwa. Tatizo linakuja pale mnapokuja na 'us vs them strategy', hapo huwa nawapuuza.
 
Abbas...
Wallahi kuna mambo mengine mie huwa hayanipitikii hadi mtu aseme.

Mathalan hesabu ya maneno ambayo naandika kwa siku au vitabu nilivyopata
katika maisha yangu kusoma au nchi na miji niliyotembelea duniani kuanzia
CapeTown hadi New York na kwengineko hadi North Sea, Scotland sikwambii
kuona Bar Lev Line, Misri.

Watu niliopata kukutananao ambao wenyewe ni historia ya Afrika kama Jim
Bailey, Peter Colmore, Prof. Suleiman Nyang, Prof. Ali Mazrui, Prof.
Michael Lofchie
nk.

Watu mashuhuri ambao nimepata kuwafanyia mahojiano muhimu kabisa katika
historia ''tata,'' ya Tanzania - marehemu Ali Nabwa, Said Rashid, Hassan
Nassoro Moyo, Baraka Shamte, Prof. Haroub Othman, Ali Muhsin
na
mdogo wake Abdallah Barwani nk.

6mfRCojTMG9i2FGGQxXoR-3Dlxa6rTIDBvF7w0U8gp9VKKh36FW2ln-5ApgYhdikETkjQsPNiDCnoQ_GmQsIUzyDJr-klNQ30PCtOh4n6apxusj_kFQ0D2CY_a4rY8xdZpyt64C_jEnr1QMOUABUqxaisgcawJX5ivtd47CaRaaHMUFpuW5-_pdWTUs3lbNfuNV1VAHR5tOVULNnb199Q2Hwo-AzNqEr7rwVt5i0h_nPbIsGNXS5LapUwXGCIe0s2WDdeBUvY_8RxuoTytcWMCnsVAzrujUwR4utSCbs6XY2wJK_mnZzqf9EHXkjZ0j9DJyABruii6y83iNATURiHOSUqiX61ycsNoq-lhmLXenQRNm0_dbGyAuRTcVpLJMeQmKpXXnaCz3i9Szr73VIgTTJfzVLCm-1H-IMxRkyBytn0j5waACAAiLHbObr7rvizPQqG705B47enGH52McZHP8mOQNiT2jnaI9Lhi-gIAh-9Dbgn9yfvX9JQrVsfcCpwG5nD6hrFhEMB8uX6Y-_rD9-TWiJ42Q4dwu9NZgeTS6-ityIMerbUXpjz1n2rz1kGLf2c6TVUcEpNM1IWBpfgEGzMQ9QxxD1tU_ICLl6RqS7VvcODw=w876-h657-no

Kushoto: Farouk Abdullah, Mwandishi, Ali Muhsin Barwani na Abdallah Muhsin
Barwani, Muscat Oman

Sikwambii ile kusoma nyaraka binafsi za watu ambao wengine hawajulikani lakini
nyaraka zao ndizo zimebeba historia ya Tanganyika, kama nyaraka za marehemu
Germano Pacha, mmoja katika wazalendo 17 walioasisi TANU, Bilal Rehani
Waikela,
Mzee Kissinger nk.

Nimesoma barua za Kenneth Kaunda, Chief Thomas Marealle, Earle Seaton
katika nyaraza za Sykes, barua ambazo hadi leo mtafiti aliyebahatika kuziona ni
mimi peke yangu sasa zaidi ya miaka 60.

Nimepata ''exposure,'' utotoni ambayo wenzangu wengi wa Kariakoo hawakubahatika.

Mzee Said alinifunza kuvaa kwa ''occasion,'' na kufanya ''order,'' na kusoma ''menu,''
nikiwa mtoto mdogo sana achilia mbali kuniambukiza ''taste,'' yake ya muziki.

Kwa kweli namshukuru Allah.
Mkuu hujawahi kuwahoji wakristo au ha wapagani waliokuwa vinara katika harakati za kudai Uhuru?
 
Kwan hapa mahakamani? Kama wataka kuyakana maneno yako mwenyewe, hewala. Sisi wengine hatutakubali upotoshe jamii ya kitanzania maana tuna watoto ambao tunapaswa kuwaachia nchi salama kama tulivyoikuta.
Sooth,
Nadhani wewe ni mgeni hapa jamvini.

Wengi walianza kama wewe kuwa naandika historia ya uongo kama unavyosema
wewe kuwa napotosha.

Ikiwa wewe hukubali mimi ''kupotosha,'' njia ya kunikabili na uongo wangu si vitisho.
Njia ni wewe kuja na ukweli.

Huo usalama ni jukumu la kila mtu.
Umefanya haraka kuja kutaka kubishana na mimi.

Chukua muda usome kwanza hizo hizo rejea nilizokuwekea.
Kuna mengi utajifunza.

Historia hii haitaki haraka ndugu yangu.
Uliza hapa jamvini utaelezwa.

Kila aliyesimama na mimi katika historia hii amekimbia.

Hii historia niliyoandika na hizo video unazoangalia ndiyo ukweli wa historia ya nchi
yetu.

Ukitaka kujua zaidi msome Njozi (2002).
Yeye alisherehesha yale waliyoandika Bergen na Sivalon.

Nadhani unajua kuwa serikali ilitishika na ukweli katika kitabu cha Njozi na kikapigwa
marufuku.

Haya yote tushajadili sana hapa jamvini ni bahati mbaya wewe hukuwepo.

Katika jamvi hili hatuna kawaida ya kutishana na ndiyo unaniona mimi sijajificha naandika
kwa jina langu halisi sababu ninachosema ni kweli sina sababu ya kuogopa ukweli.
 
Mimi niko open-minded, nitavisoma nikipata wasaa. Lakini pia nikutaarifu nimkisoma 'Mwembechai Killings' cha Njozi ambaye nae amemquote sana Sivalon. Pia nimesoma 'The Darkside of Nyerere Legacy' ambacho pia ni kitabu chenu pendwa. Tatizo linakuja pale mnapokuja na 'us vs them strategy', hapo huwa nawapuuza.
Sooth,
Ukitupuuza sawa hakuna wa kukulazimisha.
Hapa hukuitwa na mtu.

Umekuja kwa khiyari yako mwenyewe na utaondoka kwa khiyari yako mwenyewe.
 
Sooth,
Ukitupuuza sawa hakuna wa kukulazimisha.
Hapa hukuitwa na mtu.

Umekuja kwa khiyari yako mwenyewe na utaondoka kwa khiyari yako mwenyewe.
Tatizo la 'us vs them' ndio lililopelekea mgogoro wa nani achinje ng'ombe. Ni dhahiri hakukuwa na mshindi. Ilisaidia kutambua kuwa tunategemeana. Kwahiyo kukupuuza maana yake, sitakuunga mkono ktk unachoshadidia. Nitakupinga kila nitakapopata nafasi.
 
Mohamed Said wewe ni mlalamishi (whiner), hujawahi kuja na suluhisho la masahibu ya watu wako. Kama utakumbuka wakati wa uchaguzi mkuu ulikuwa bize na sideshows na mimi nikakushauri nguvu zako uzielekeze ktk kuhakikisha tunapata viongozi watakaosimamia haki na sheria kwa watu wote. Hukunisikia. Rais anaapisha mawazi ukawa wa kwanza kumpinga Ndalichako. Ungekuwa smart ungefanya kampeni ya kukiondoa hicho chama ulichosema mlikitumia kuleta uhuru ili muwape wengine wanaoweza kusikiliza kero zenu.
 
Sooth,
Nadhani wewe ni mgeni hapa jamvini.

Wengi walianza kama wewe kuwa naandika historia ya uongo kama unavyosema
wewe kuwa napotosha.

Ikiwa wewe hukubali mimi ''kupotosha,'' njia ya kunikabili na uongo wangu si vitisho.
Njia ni wewe kuja na ukweli.

Huo usalama ni jukumu la kila mtu.
Umefanya haraka kuja kutaka kubishana na mimi.

Chukua muda usome kwanza hizo hizo rejea nilizokuwekea.
Kuna mengi utajifunza.

Historia hii haitaki haraka ndugu yangu.
Uliza hapa jamvini utaelezwa.

Kila aliyesimama na mimi katika historia hii amekimbia.

Hii historia niliyoandika na hizo video unazoangalia ndiyo ukweli wa historia ya nchi
yetu.

Ukitaka kujua zaidi msome Njozi (2002).
Yeye alisherehesha yale waliyoandika Bergen na Sivalon.

Nadhani unajua kuwa serikali ilitishika na ukweli katika kitabu cha Njozi na kikapigwa
marufuku.

Haya yote tushajadili sana hapa jamvini ni bahati mbaya wewe hukuwepo.

Katika jamvi hili hatuna kawaida ya kutishana na ndiyo unaniona mimi sijajificha naandika
kwa jina langu halisi sababu ninachosema ni kweli sina sababu ya kuogopa ukweli.
Mzee wangu mm hua na kuelewa sana, namuomba Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema. Ama kweli ukweli mchungu!!
 
Mohamed Said wewe ni mlalamishi (whiner), hujawahi kuja na suluhisho la masahibu ya watu wako. Kama utakumbuka wakati wa uchaguzi mkuu ulikuwa bize na sideshows na mimi nikakushauri nguvu zako uzielekeze ktk kuhakikisha tunapata viongozi watakaosimamia haki na sheria kwa watu wote. Hukunisikia. Rais anaapisha mawazi ukawa wa kwanza kumpinga Ndalichako. Ungekuwa smart ungefanya kampeni ya kukiondoa hicho chama ulichosema mlikitumia kuleta uhuru ili muwape wengine wanaoweza kusikiliza kero zenu.
Sooth,
Toka awali nilijua hutofika mbali na mimi.
Fungua uzi mwingine In Shaallah nitakuja.

Hii mada mpya uloleta hapa si kwake.
 
Tatizo la 'us vs them' ndio lililopelekea mgogoro wa nani achinje ng'ombe. Ni dhahiri hakukuwa na mshindi. Ilisaidia kutambua kuwa tunategemeana. Kwahiyo kukupuuza maana yake, sitakuunga mkono ktk unachoshadidia. Nitakupinga kila nitakapopata nafasi.
Sooth,
Uwezo wa kupambana na mimi huna.
 
Sooth,
Toka awali nilijua hutofika mbali na mimi.
Fungua uzi mwingine In Shaallah nitakuja.

Hii mada mpya uloleta hapa si kwake.
Katika jamii ya kiislam, wewe kama sheikh Ponda mna influence kubwa sana. Sasa sisi wengine tunashauri hiyo influence inaweza ikatumika kwa mafanikio ya wengi na kutoa suluhisho la kudumu la kile mnacholilia.
 
Sooth,
Uwezo wa kupambana na mimi huna.
Tatizo liko hapo. Unapenda mapambano na watu-hasa wasio wa imani yako. Mimi napambana na umaskini na ujinga. Kama kuna ulazima wa kupambana, mi nitapambana na hoja zako uchwara.
 
Abbas...
Wallahi kuna mambo mengine mie huwa hayanipitikii hadi mtu aseme.

Mathalan hesabu ya maneno ambayo naandika kwa siku au vitabu nilivyopata
katika maisha yangu kusoma au nchi na miji niliyotembelea duniani kuanzia
CapeTown hadi New York na kwengineko hadi North Sea, Scotland sikwambii
kuona Bar Lev Line, Misri.

Watu niliopata kukutananao ambao wenyewe ni historia ya Afrika kama Jim
Bailey, Peter Colmore, Prof. Suleiman Nyang, Prof. Ali Mazrui, Prof.
Michael Lofchie
nk.

Watu mashuhuri ambao nimepata kuwafanyia mahojiano muhimu kabisa katika
historia ''tata,'' ya Tanzania - marehemu Ali Nabwa, Said Rashid, Hassan
Nassoro Moyo, Baraka Shamte, Prof. Haroub Othman, Ali Muhsin
na
mdogo wake Abdallah Barwani nk.

6mfRCojTMG9i2FGGQxXoR-3Dlxa6rTIDBvF7w0U8gp9VKKh36FW2ln-5ApgYhdikETkjQsPNiDCnoQ_GmQsIUzyDJr-klNQ30PCtOh4n6apxusj_kFQ0D2CY_a4rY8xdZpyt64C_jEnr1QMOUABUqxaisgcawJX5ivtd47CaRaaHMUFpuW5-_pdWTUs3lbNfuNV1VAHR5tOVULNnb199Q2Hwo-AzNqEr7rwVt5i0h_nPbIsGNXS5LapUwXGCIe0s2WDdeBUvY_8RxuoTytcWMCnsVAzrujUwR4utSCbs6XY2wJK_mnZzqf9EHXkjZ0j9DJyABruii6y83iNATURiHOSUqiX61ycsNoq-lhmLXenQRNm0_dbGyAuRTcVpLJMeQmKpXXnaCz3i9Szr73VIgTTJfzVLCm-1H-IMxRkyBytn0j5waACAAiLHbObr7rvizPQqG705B47enGH52McZHP8mOQNiT2jnaI9Lhi-gIAh-9Dbgn9yfvX9JQrVsfcCpwG5nD6hrFhEMB8uX6Y-_rD9-TWiJ42Q4dwu9NZgeTS6-ityIMerbUXpjz1n2rz1kGLf2c6TVUcEpNM1IWBpfgEGzMQ9QxxD1tU_ICLl6RqS7VvcODw=w876-h657-no

Kushoto: Farouk Abdullah, Mwandishi, Ali Muhsin Barwani na Abdallah Muhsin
Barwani, Muscat Oman

Sikwambii ile kusoma nyaraka binafsi za watu ambao wengine hawajulikani lakini
nyaraka zao ndizo zimebeba historia ya Tanganyika, kama nyaraka za marehemu
Germano Pacha, mmoja katika wazalendo 17 walioasisi TANU, Bilal Rehani
Waikela,
Mzee Kissinger nk.

Nimesoma barua za Kenneth Kaunda, Chief Thomas Marealle, Earle Seaton
katika nyaraza za Sykes, barua ambazo hadi leo mtafiti aliyebahatika kuziona ni
mimi peke yangu sasa zaidi ya miaka 60.

Nimepata ''exposure,'' utotoni ambayo wenzangu wengi wa Kariakoo hawakubahatika.

Mzee Said alinifunza kuvaa kwa ''occasion,'' na kufanya ''order,'' na kusoma ''menu,''
nikiwa mtoto mdogo sana achilia mbali kuniambukiza ''taste,'' yake ya muziki.

Kwa kweli namshukuru Allah.
Abbas...
Wallahi kuna mambo mengine mie huwa hayanipitikii hadi mtu aseme.

Mathalan hesabu ya maneno ambayo naandika kwa siku au vitabu nilivyopata
katika maisha yangu kusoma au nchi na miji niliyotembelea duniani kuanzia
CapeTown hadi New York na kwengineko hadi North Sea, Scotland sikwambii
kuona Bar Lev Line, Misri.

Watu niliopata kukutananao ambao wenyewe ni historia ya Afrika kama Jim
Bailey, Peter Colmore, Prof. Suleiman Nyang, Prof. Ali Mazrui, Prof.
Michael Lofchie
nk.

Watu mashuhuri ambao nimepata kuwafanyia mahojiano muhimu kabisa katika
historia ''tata,'' ya Tanzania - marehemu Ali Nabwa, Said Rashid, Hassan
Nassoro Moyo, Baraka Shamte, Prof. Haroub Othman, Ali Muhsin
na
mdogo wake Abdallah Barwani nk.

6mfRCojTMG9i2FGGQxXoR-3Dlxa6rTIDBvF7w0U8gp9VKKh36FW2ln-5ApgYhdikETkjQsPNiDCnoQ_GmQsIUzyDJr-klNQ30PCtOh4n6apxusj_kFQ0D2CY_a4rY8xdZpyt64C_jEnr1QMOUABUqxaisgcawJX5ivtd47CaRaaHMUFpuW5-_pdWTUs3lbNfuNV1VAHR5tOVULNnb199Q2Hwo-AzNqEr7rwVt5i0h_nPbIsGNXS5LapUwXGCIe0s2WDdeBUvY_8RxuoTytcWMCnsVAzrujUwR4utSCbs6XY2wJK_mnZzqf9EHXkjZ0j9DJyABruii6y83iNATURiHOSUqiX61ycsNoq-lhmLXenQRNm0_dbGyAuRTcVpLJMeQmKpXXnaCz3i9Szr73VIgTTJfzVLCm-1H-IMxRkyBytn0j5waACAAiLHbObr7rvizPQqG705B47enGH52McZHP8mOQNiT2jnaI9Lhi-gIAh-9Dbgn9yfvX9JQrVsfcCpwG5nD6hrFhEMB8uX6Y-_rD9-TWiJ42Q4dwu9NZgeTS6-ityIMerbUXpjz1n2rz1kGLf2c6TVUcEpNM1IWBpfgEGzMQ9QxxD1tU_ICLl6RqS7VvcODw=w876-h657-no

Kushoto: Farouk Abdullah, Mwandishi, Ali Muhsin Barwani na Abdallah Muhsin
Barwani, Muscat Oman

Sikwambii ile kusoma nyaraka binafsi za watu ambao wengine hawajulikani lakini
nyaraka zao ndizo zimebeba historia ya Tanganyika, kama nyaraka za marehemu
Germano Pacha, mmoja katika wazalendo 17 walioasisi TANU, Bilal Rehani
Waikela,
Mzee Kissinger nk.

Nimesoma barua za Kenneth Kaunda, Chief Thomas Marealle, Earle Seaton
katika nyaraza za Sykes, barua ambazo hadi leo mtafiti aliyebahatika kuziona ni
mimi peke yangu sasa zaidi ya miaka 60.

Nimepata ''exposure,'' utotoni ambayo wenzangu wengi wa Kariakoo hawakubahatika.

Mzee Said alinifunza kuvaa kwa ''occasion,'' na kufanya ''order,'' na kusoma ''menu,''
nikiwa mtoto mdogo sana achilia mbali kuniambukiza ''taste,'' yake ya muziki.

Kwa kweli namshukuru Allah.
Mzee Mohamed naomba siku utuwekee hizo barua za Chief Marealle japo nami niweze kumfahamu kidogo. Ni jirani yangu pale Marangu
 
Mzee Mohamed naomba siku utuwekee hizo barua za Chief Marealle japo nami niweze kumfahamu kidogo. Ni jirani yangu pale Marangu
Kinyungu,
Hizi barua siwezi kueleza, ''content'' ingawa marehemu Ally Sykes alitaka
nieleze katika kitabu cha Abdul Sykes nini Marealle amesema kuhusu watu
fulani.

Lakini leo nikiangalia nyuma yale ambayo Chief Marealle alimuonya rafiki
yake ndiyo yaliyokuja kumfika Ally Sykes na kaka yake baada ya uhuru.

Tosheka na haya.
 
Tatizo liko hapo. Unapenda mapambano na watu-hasa wasio wa imani yako. Mimi napambana na umaskini na ujinga. Kama kuna ulazima wa kupambana, mi nitapambana na hoja zako uchwara.
Sooth,
Mbona sasa unakuja na matusi?

Ikiwa huwezi kustahamili ''contrary views,'' basi na tusitishe
huu mnakasha.

Hapana sababu ya kutukanana.
 
Back
Top Bottom