Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

Kwanini Mohammed Said hakupewa nafasi kwenye msiba wa Ally Sykes?

Katika jamii ya kiislam, wewe kama sheikh Ponda mna influence kubwa sana. Sasa sisi wengine tunashauri hiyo influence inaweza ikatumika kwa mafanikio ya wengi na kutoa suluhisho la kudumu la kile mnacholilia.
Sooth,
Neno langu halivuki kizingiti cha mlango wangu.
 
Kinyungu,
Hizi barua siwezi kueleza, ''content'' ingawa marehemu Ally Sykes alitaka
nieleze katika kitabu cha Abdul Sykes nini Marealle amesema kuhusu watu
fulani.

Lakini leo nikiangalia nyuma yale ambayo Chief Marealle alimuonya rafiki
yake ndiyo yaliyokuja kumfika Ally Sykes na kaka yake baada ya uhuru.

Tosheka na haya.
Amina Mkuu
 
Sooth,
Mbona sasa unakuja na matusi?

Ikiwa huwezi kustahamili ''contrary views,'' basi na tusitishe
huu mnakasha.

Hapana sababu ya kutukanana.
Hahaahah, MS unaanza ushari. Kwan kusema una hoja uchwara ni tusi? Si maana yake hoja zako hazina mashiko? Matusi yanatuondoa kwenye mjadala, hata mimi siyapendi na naamini sijakutusi.
 
Hmm,hii mada tamu sana
.
Sooth una supporters wengi sana kwnye hili ila bhas tu,wengi wao hawapendagi ligi.
Zama hizi kuwazia udini hmm,interesting'
Nakuunga ulposema huyo mzee angetumia influence yake kwny mambo ya msingi ingekua poa sana.
 
Hmm,hii mada tamu sana
.
Sooth una supporters wengi sana kwnye hili ila bhas tu,wengi wao hawapendagi ligi.
Zama hizi kuwazia udini hmm,interesting'
Nakuunga ulposema huyo mzee angetumia influence yake kwny mambo ya msingi ingekua poa sana.
Jeepee007,
Hakuna udini wowote katika haya ninayokuelezeni hapa.

Lau kama unaona upo udini lete ushahidi hapa nami nitajibu
In Shaallah.

Hii historia kwangu mimi ni kitu cha msingi sana.

Hebu fikiria laiti ingebaki historia ya TANU ile iliyoandikwa na
Chuo Cha Kivukoni historia ya uhuru wa Tanganyika ingekuwaje?

Nani angewajua wale wote niliowataja kama Abdul Sykes, Ally
Sykes, Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir,
Earle Seaton, Hamza Mwapachu, Stephen Mhando
na mengi
ambayo katika kuwaeleza hawa unayapata mengine aliyoyafanya
Mwalimu Nyerere
?

Udini uko wapi hapa?
Udini kwa kuwarudisha Waislam waliofutwa katika historia?
 
Sooth neno, "stupid," ni matusi. Haifai watu kutukanana. Ungeweza kiungwana tu kutaka maelezo na sababu ya mimi.kushukuru.


Ahsante mzee wangu. Naona unaendeleza dawa kwa vijana wasiojua ukweli. Haya, labda uwaulize historia ya Tanganyika iko wapi? Ambayo inataja wanaharakati waliopigani uhuru ukimwacha kiongozi mkuu aliyekuja baadaye (Nyerere).
Muddyb,
Ahsante sana.
Umenifurahisha kupita kiasi.[/QUOTE]
Ni jukumu letu sote kuhakikisha hizi dhana za kusema uhuru uliletwa na mtu mmoja..

= part 7

= part 8
 
Muddyb,
Ahsante sana.
Umenifurahisha kupita kiasi.
Ni jukumu letu sote kuhakikisha hizi dhana za kusema uhuru uliletwa na mtu mmoja..

= part 7

= part 8[/QUOTE]
Muddyb/Wanamajlis,
Abbas Mzee alituwekea DVD za mahadhara wangu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
lakini no. 7 na 8 hazikuweko.

Muddyb katuwekea hizo DVD mbili na ndiyo hizo hapo juu.
Namshukuru sana.
 
Ni jukumu letu sote kuhakikisha hizi dhana za kusema uhuru uliletwa na mtu mmoja..

= part 7

= part 8

Muddyb/Wanamajlis,
Abbas Mzee alituwekea DVD za mahadhara wangu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
lakini no. 7 na 8 hazikuweko.

Muddyb katuwekea hizo DVD mbili na ndiyo hizo hapo juu.
Namshukuru sana.[/QUOTE]

Ninakushukuru na wewe pia kwa ujumbe wako. Hizo hotuba sijawahi kumaliza mwezi bila kuzitazama!
 
Vichawi dot com.
Brayzeking na Wanamajlis,
Naamini kama mtu kasikiza hizo DVD hata baadhi atakuwa kapata
picha nyingine kabisa ya harakati za uhuru.

Katika DVD No. 6 nimemzungumza Prof. Haroub Othman vipi yeye
alitaabika na yale aliyosoma katika kitabu cha Abdul Sykes kiasi cha
kwenda kwa Nyerere kutafuta ukweli.

Alimuomba Nyerere ajibu kitabu cha Ali Muhsin Barwani, ''Conflicts
and Harmony in Zanzibar,'' na kitabu cha Abdul Sykes.

Vitabu hivi vyote viwili sasa vinapatikana Tanzania Publishing House,
(TPH) Samora Avenue kwa bei ya shs: 10,000.00.
 
Muddyb/Wanamajlis,
Abbas Mzee alituwekea DVD za mahadhara wangu Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam
lakini no. 7 na 8 hazikuweko.

Muddyb katuwekea hizo DVD mbili na ndiyo hizo hapo juu.
Namshukuru sana.

Ninakushukuru na wewe pia kwa ujumbe wako. Hizo hotuba sijawahi kumaliza mwezi bila kuzitazama![/QUOTE]
Muddyb,
Wa kushukuriwa ni wewe kwa kutufanyia hisani hii.
 
Bwai,
Unamhoji mtu aliyekuwa na taarifa huwezi kufanya mahojiano na mtu
ambae hana cha kueleza.
Inawezekana kweli wakakosa cha kueleza, kama kweli walishiriki kwenye hizo harakati?
 
Kinyungu,
Hizi barua siwezi kueleza, ''content'' ingawa marehemu Ally Sykes alitaka
nieleze katika kitabu cha Abdul Sykes nini Marealle amesema kuhusu watu
fulani.

Lakini leo nikiangalia nyuma yale ambayo Chief Marealle alimuonya rafiki
yake ndiyo yaliyokuja kumfika Ally Sykes na kaka yake baada ya uhuru.

Tosheka na haya.
Ukishasema kuna barua, kama ni muwazi, una wajibu wa kuelezea yaliyomo katika barua hiyo, hususan kama barua ni ya magwiji, inahusu makubwa na ulitakiwa kusema hayo na watu unaowaheshimu waliotangulia.

Usiposema, utakuwa umewakosea heshima.

Pia, utakuwa unatukosea heshima uliotuambia kuna barua halafu hutaki kutuambia imesemaje. Bora usingetuambia kabisa.

Pia, kuna wengine watakuona mzushi tu, kwa sababu kila mtu anaweza kujifaragua "nimepokea barua kutoka kwa Papa Francis wa Wakatoliki leo, jana nilipokea ya Obama, sina hata muda wa kuzijibu".

Kila mzushi anaweza kusema hivyo. Ili ujitenganishe na wazushi hawa, ama usitaje kaabisa kitu ambacho hupo tayari kukijadili kwa kina ama kitaje na kijadili kwa kina.

"Put up or shut up" wanasema Waingereza.
 
Ukishasema kuna barua, kama ni muwazi, una wajibu wa kuelezea yaliyomo katika barua hiyo, hususan kama barua ni ya magwiji, inahusu makubwa na ulitakiwa kusema hayo na watu unaowaheshimu waliotangulia.

Usiposema, utakuwa umewakosea heshima.

Pia, utakuwa unatukosea heshima uliotuambia kuna barua halafu hutaki kutuambia imesemaje. Bora usingetuambia kabisa.

Pia, kuna wengine watakuona mzushi tu, kwa sababu kila mtu anaweza kujifaragua "nimepokea barua kutoka kwa Papa Francis wa Wakatoliki leo, jana nilipokea ya Obama, sina hata muda wa kuzijibu".

Kila mzushi anaweza kusema hivyo. Ili ujitenganishe na wazushi hawa, ama usitaje kaabisa kitu ambacho hupo tayari kukijadili kwa kina ama kitaje na kijadili kwa kina.

"Put up or shut up" wanasema Waingereza.


Hili nalo neno.
 
Ukishasema kuna barua, kama ni muwazi, una wajibu wa kuelezea yaliyomo katika barua hiyo, hususan kama barua ni ya magwiji, inahusu makubwa na ulitakiwa kusema hayo na watu unaowaheshimu waliotangulia.

Usiposema, utakuwa umewakosea heshima.

Pia, utakuwa unatukosea heshima uliotuambia kuna barua halafu hutaki kutuambia imesemaje. Bora usingetuambia kabisa.

Pia, kuna wengine watakuona mzushi tu, kwa sababu kila mtu anaweza kujifaragua "nimepokea barua kutoka kwa Papa Francis wa Wakatoliki leo, jana nilipokea ya Obama, sina hata muda wa kuzijibu".

Kila mzushi anaweza kusema hivyo. Ili ujitenganishe na wazushi hawa, ama usitaje kaabisa kitu ambacho hupo tayari kukijadili kwa kina ama kitaje na kijadili kwa kina.

"Put up or shut up" wanasema Waingereza.
Kiranga,
Katika utafiti mtu unakutana na mengi na unakujajua mengi.

Kama mwandishi na mtafiti mimi nina wajibu wa kulinda faragha
za watu na baadhi ya mambo niliykuja kuyajua katika uhusiano
wetu.

Hili ni suala la akida.

Ikiwa utaona kufanya kinyume cha hivi ni uzushi hiyo ni bahati
mbaya kwetu sote.
 
Kiranga,
Katika utafiti mtu unakutana na mengi na unakujajua mengi.

Kama mwandishi na mtafiti mimi nina wajibu wa kulinda faragha
za watu na baadhi ya mambo niliykuja kuyajua katika uhusiano
wetu.

Hili ni suala la akida.

Ikiwa utaona kufanya kinyume cha hivi ni uzushi hiyo ni bahati
mbaya kwetu sote.
1. Sijaona uzushi. Naona unatoa mwanya wa mtu kusema unaleta ujuzi, that you are a namedropper, unataja majina na barua halafu hutaki kuzielezea. Hutakiwi kutoa mwanya huu.

2. Kama ulitaka kulinda faragha za watu, usingeitaja hiyo barua na kuielezea nusunusu. Ungekaa na hiyo habari yote moyoni. Ulichofanya sasa ni uvuguvugu ambao haujakuweka katika waliolinda faragha wala walioweka mambo wazi.

Wanaopenda walinda faragha watakusema kwamba umeweka habari za barua hiyo wazi wakati hukutakiwa hata kuitaja.

Tunaopenda uwazi tutasema kwamba hujaweka barua hiyo wazi kinagaubaga.

You get the worst of both worlds.

Ndiyo maana nkasema "Put up or shut up". Chagua moja.

Wewe Mswahili, unajua habari ya kupanda punda wawili kunavyopasua msamba.

Na jinsi ukishika mawili moja litakavyokuponyoka.
 
Back
Top Bottom