Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

Kwanini mpaka sasa sipati ukimwi?

Kwanini Marekani,ulaya na nchi nyingine nyingi ukimwi sio tatizo?Hapa lazima sub sahara tumechezewa mchezo na wazungu.Tafuta post za Deception utajua meng.
 
Nilipata maelezo kutoka kwa mpenzi wangu ambaye pia ni HIV positive, kwamba kila ugonjwa unaoingia mwilini, ili uuathiri mwili ni lazima upokelewe na mwili.

Baadhi ya watu miili yao haina vipokezi ( receiptors) vya baadhi ya magonjwa. Mfano UKIMWI.

Hivyo yawezekana wewe ni mmoja wa wasio na vipokezi vya ukimwi mwilini mwako hivyo huwezi kuambukizwa.

Hilo neno allitaja hivyo sina uhakika kama huandikwa hivyo. Nimepita haraka bila utafiti.
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV.

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE.

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
Duuh
 
Nilipata maelezo kutoka kwa mpenzi wangu ambaye pia ni HIV positive, kwamba kila ugonjwa unaoingia mwilini, ili uuathiri mwili ni lazima upokelewe na mwili.

Baadhi ya watu miili yao haina vipokezi ( receiptors) vya baadhi ya magonjwa. Mfano UKIMWI.

Hivyo yawezekana wewe ni mmoja wa wasio na vipokezi vya ukimwi mwilini mwako hivyo huwezi kuambukizwa.

Hilo neno allitaja hivyo sina uhakika kama huandikwa hivyo. Nimepita haraka bila utafiti.
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV.

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE.

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
mkuu usihofu, utaupata tu, vuta subira.
 
Habari zenu

Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi na nyinyi

Wengi tunaamini kwamba ngono ndio chanzo kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,hata katika kampeni mbalimbali tunahimizwa kuacha ngono zembe na tutumie kinga ili kujikinga na maradhi haya.

Sasa ni miaka mingi sana tangu nimuoe mke mwenye virusi vya ukimwi na sikuwahi kutumia kinga mpaka siku nilipojua kuwa ni muathirika imeshapita miezi mingi nikaenda kupima nikaambiwa niko salama nikapewa na kondom nakumbuka niliitumia siku moja tu na nikasema kwa roho safi kuwa liwalo na liwe kupata kutokupata yote ni sawa sote tutakufa na sinaga kabisa hofu wala kuwaza hata sikujali tena hiyo issue ili kumpa amani ya roho maana alishapatwa na mshtuko hata yeye hakutegemea kwan alikuwa ni mdogo na alizaliwa nao ni mama yake ndio alikuwa anaficha ukweli

Nikaishi nae yafika mwaka wa sita sasa na Mungu ametujaalia watoto wa kiume wawili ambao wao wako salama kwa kuwa nafuata taratibu zote za kidaktari juu ya watoto wanaozaliwa na mama mwenye HIV.

Huwa nasex nae kavukavu,wakat mwingine showshow za kufa mtu,kimaumbile niko vizuri,wakat mwingine michubuko na vidonda wakat wa sex na michubuano hutokea mara kwa mara kutokana show za vurugu zinazotokea.

Lakini sasa ni mwaka wa sita au watano leo nimempeleka akachukue dawa nikapima majibu yanakuja bado niko salama

Sasa najiuliza hivi kuna uwezekano gani miaka yote hiyo bado nisipate ukimwi,kwanini sipati ama ngono sio sababu kuu ya kupata ukimwi ama kuna vitu vingine vinachangia ama inakuwaje kuwaje hii hali.

Tukumbuke kuwa hata nikipata mimi sijali nafsi yangu ilishakunjua kiroho safi na siogop wala sina hofu yani naishi tu safi tu najua kufa kupo haijalishi NITAKUFAJE.

Wataalam,wajuzi na madakatari hebu mkuje kidogo mnieleze kitu kuhusu hili,huenda wengine wakapat elimu na kufaidika pia.

Matusi na kebehi si vyema wandugu ni bora upite tu pia nisieleweke vibaya kwenye bandiko langu hili kwani ni kweli ukimwi upo na unaua na hata nami nimeshuhudia.

Nawasilisha
Huenda labda Sababu kuu ni kuwa anazingatia dawa.
 
Nimetembea Tena na wanawake wengine kama wawili kwa muda wa mwaka mzima ,mmoja mwaka na nusu na wote walikuwa wananificha nimegundua juzi nimewapeleka wakaanze dozi NAMI nikapima upya bado majibu ni yaleyale Niko Sina virusi vya ukimwi.

Ikabidi nipime kundi la damu akaniambia ni group 0 gani (nimesahau kama neg au post)

Ila akasema Hilo group ni ngumu sana kupata magonj na naweza kuchangia damu mtu yeyote so nahisi huenda ikawa ndio sababu ama kudra tu za Mungu
 
Halafu nimekuwa na bahati mbaya sana katika hili,nilichepuka nje ya ndoa na mwanamke mwingine baada ya miezi sita nikagundua naye ni muathirika na hakuwa anatumia dawa kwa kuwa anaona album na kuogopa kujulikana

Nilimpeleka hospitality ya Ngamiani Tanga tukapimwa sote tukapewa ushauri na nikamuanzishia dozi na mpaka sasa ni mfuatiliaji mzuri wa huduma za ctc ila bado mm niko salama sina maambukizi,

Baada ya muda nikaanzisha tena mahusiano na dada mwingine huyu tulikutana bar alikuwa ni mhudumu na siku moja nikakuta chupa ya dawa geto kwake akakataa siyo yake maana alikuwa anakaa na wenzake wawili nikaja na vipimo tukapima ikaonekana Ana maambukizi ila mimi bado nikawa salama na hapo tumeshadate kama miez minne.

Ila kuna siku nilienda maabara nikacheki hiv akaniambia sina nikamuomba acheki group la damu akaniambia group 0 sijui na maelekezo menu kuhusu kundi hilo la damu ila mm nishasahau maana aliongea mambo mengi ya kidaktar daktari.. najaribu kufikiria niwaache ila nahisi kama nitawaacha kwenye wakat mgumu sana.
 
Halafu nimekuwa na bahati mbaya sana katika hili,nilichepuka nje ya ndoa na mwanamke mwingine baada ya miezi sita nikagundua naye ni muathirika na hakuwa anatumia dawa kwa kuwa anaona album na kuogopa kujulikana

Nilimpeleka hospitality ya Ngamiani Tanga tukapimwa sote tukapewa ushauri na nikamuanzishia dozi na mpaka sasa ni mfuatiliaji mzuri wa huduma za ctc ila bado mm niko salama sina maambukizi,

Baada ya muda nikaanzisha tena mahusiano na dada mwingine huyu tulikutana bar alikuwa ni mhudumu na siku moja nikakuta chupa ya dawa geto kwake akakataa siyo yake maana alikuwa anakaa na wenzake wawili nikaja na vipimo tukapima ikaonekana Ana maambukizi ila mimi bado nikawa salama na hapo tumeshadate kama miez minne.

Ila kuna siku nilienda maabara nikacheki hiv akaniambia sina nikamuomba acheki group la damu akaniambia group 0 sijui na maelekezo menu kuhusu kundi hilo la damu ila mm nishasahau maana aliongea mambo mengi ya kidaktar daktari.. najaribu kufikiria niwaache ila nahisi kama nitawaacha kwenye wakat mgumu sana.
Hahaha
 
Back
Top Bottom