Kwanini msemaji wa Club ya Simba anatangaza bidhaa za pinzani kibiashara? Inawezekana vipi?

GSM Ni kampuni.
Ambayo HAINA MAHUSIANO YOYOTE NA YANGA.
mwenye mahusiano na YANGA Ni mmiliki wa GSM.
Sio kampuni ya GSM.
manara anatangaza bidhaa za GSM sio za yanga AMKENI.[emoji16][emoji16][emoji16].
GSM NA YANGA NI VITU VIWILI TOFAUTI
We unadhani mo haioni potential ya Manara kimatangazo

Usikute wanatafuta namna ya kumtoa hawamtaki

Sasa haji afe njaa kisa Simba

Haji hamia Yanga kabisa babako na mwanao Ni Yanga achana na mikia
 
Hapa utatofautishaje kati ya Azam fc na Azam media?
Ikiwa mmiliki ni mmoja?

Hivi hyo manara akitangaza ktk moja ya kampuni za bakhresa ni nani atamlipa kama sio bakhresa ?
 
naona unachanganya vitu.
Hizo kampuni MMILIKI NI MMOJA.
Ila zipo tofauti na zinajitegemea.
hauwezi kumkataza MTU wa Simba asitangaze Azam Nazi eti kisa Azam Nazi Ina undugu na Azam FC.
Kama NI hivyo watu WA SIMBA tusingekuwa tunaangalia azam tv maana Ni kampuni ya AZAM FC.
 
Dah! Kweli ndugu yangu, manake watu ni full kuchanganya madesa! Wanashindwa hata kutofautisha kati ya Azam na Azam FC! Ajabu nawauliza ikiwa Azam TV hawawezi kutangaza bidhaa za Simba SC, hili swali wanalikwepa!!!!
Hapo utatofautishaje Azam fc na Azam media,,

Wakati mmiliki ni mmoja?
 
Kama hajakuelewa kwa ufafanuzi huu ndio basi Tena...
 
Kwa tarifa yako hatumtoi ng'o...
 
Wakuu habari , ngoja niweke mada sawa Haji Manara mbona alichaguliwa kitambo kuwa Balozi wa Bidhaa za Azm kitambo na alitanganzwa hata katika vyombo vya habara vya Azam , pia kwa wasiojua Haji Manara ni kati ya marafiki wazuri sana katika Familia ya Bakhressa.
 
Sasa habari za Azam FC zinatoka wapi tena wakati zimezungumzia Azam TV?! Au ndo yale yale; mnadhani Mohamed Enterprises na Simba SC ni kitu kimoja, na kwa upande mwingine mnadhani Azam FC na Azam ni kitu kimoja!!!!
jamaa amekujibu vizuri ila wewe umeandika utumbo
 
Hivi mchezaji na kiongozi wa timu ni sawa?
Kama manara ni mwajiriwa wa simba? Iweje akatangaze Azam?

Unaweza ukaona wenzio wanacheka hovyo ukadhani wamerukwa na akili,,

Kumbe wanakucheka wewe uliye kaa uchi...bila kujijuwa.
 
Ngoja niongee lugha yako:Azam TV na Azam FC ni ndugu! Kwahiyo unataka kusema Mohamed Enterprises na Simba SC na wenyewe ni ndugu?!
Tofautisha ndugu na mtu mmoja..hizo company zote ni za s.s bakhresa.
 
Nyie ndy mnaompoteza manara,,
Ngoja tuchochee kuni ,,hiki cheo cha usemaji kifutwe..

Tuone atatangaza nini?
 
Mkuu lakini pia Azam na Simba ni Baba na Shangazi wote ndugu...na pia Yeye Haji ameingia mkataba na Simba kua msemaji na hajaingia na Mo kumtangazia biashara zake.
 
Kuna siku hyo timu ya Barcelona imecheza na timu ya Adidas anayoitangaza mesi?

Tofautisha timu na company.

Azam fc ipo kwenye Azam company na ipo kwenye ligi hiyo hiyo iliyopo simba,

Acheni uwanasheria uchwara.
 
Anatumia brand ya Simba kwa manufaa yake binafsi kivipi?! Ina maana anahamasisha mashabiki wa Simba huku akitumia kofia yake ya Usemaji wa Simba ili mashabiki wanunue hizo nazi, au?!
Kwani hulioni hilo?

Kwanini wasimchukuwe masao bwire?
 
Owner ni nani?
Kama sio s.s.bakhresa?
 
Sawa MMILIKI NI bakhresa.
Lakini hayo makampuni yanafanya kazi kwa kujitegemea..
Sijui unaelewa hyo point.?.
yaani kila kampuni inafanya kivyake.
Azam Nazi ipo kivyake na Azam FC ipo kivyake.
Haji anatangaza azam Nazi.
Sio Azam FC.
Na ndo manaa kila kampuni Ina meneja wake na wafanyakazi wake Ila tukirudi kwenye mmiliki ndo huyo bakhresa.
Owner ni nani?
Kama sio s.s.bakhresa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…