APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 292
Hilo ni kanisa au gulio? Uko kanisani huku unachat? Makanisa ya mitume na manabii ni utapeli mtupuKuna muda unaweza walaumu kumbe kifaa chako umekitega hovyo, ningekupa elimu nipo kanisani ngoja nisikilize kwanza neno la mungu
njoo kwa yesu kuna rahaHilo ni kanisa au gulio? Uko kanisani huku unachat? Makanisa ya mitume na manabii ni utapeli mtupu
Bora halotel, Tigo ni habari nyingine mkuu...wanatafuna data kama mchwa!
Natumia Halotel na Tigo ila halotel hawa jamaa wanafyeka bando haraka sijawahi kuona
Tatizo hizi zinazoitwa MB ni vitu visivyoonekana kwa macho wala kushikika.Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Ccm inatunyonya sanaBora halotel, Tigo ni habari nyingine mkuu...wanatafuna data kama mchwa!
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.