Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Walau hata voda, hawa Tigo wanakula sanaTigo na voda ni watoto wa baba mmoja, tofauti ni mmoja ni kulwa mmoja doto kazi kwako kumfahamu mtukutu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walau hata voda, hawa Tigo wanakula sanaTigo na voda ni watoto wa baba mmoja, tofauti ni mmoja ni kulwa mmoja doto kazi kwako kumfahamu mtukutu.
basi huyo ndiye dottoWalau hata voda, hawa Tigo wanakula sana
Data saver weka onWanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Kwa sababu wananjaa kaliWanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Yaani ni wezi hatar.....yaani ni shidaTigo ni Wezi, si unajua kuwa inamilikiwa na Rostam?
Hiyo Tigo yako inatumika kila siku kwa wiki au mara moja moja? Tuanzie hapo kwanza.Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.