Kwanini Mtandao wa TIGO unakula Data kwa kasi sana?

Kwanini Mtandao wa TIGO unakula Data kwa kasi sana?

Hawa Tigo juzi nililazimika kufunga laini yao, nilinunua mb 246 hazikumaliza hata dakika 20, siku-download chochote, nalumiwa ujumbe 75% imekata dakika moja baadae huna kifurushi. Nilichukuw maamuzi magumu ya kufunga kabisa line yao, sitaki mazoea.
 
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Data saver weka on
 
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Kwa sababu wananjaa kali
 
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow hivyo nalazimika kutumia TIGO.Ila sasa data consumption ni hatari.
Hiyo Tigo yako inatumika kila siku kwa wiki au mara moja moja? Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom