Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Mixer maparody

Musk hawezi kuhangaika na hilo

Watumiaji 600k hawana athari yoyote kwa taifa
Anafanya biashara, maana anauza matangazo kupitia contents za kiswahili ukizingatia kuna autotranslation.

Zamani Twitter ilikuwa haiko kibiashara kama sasa. 600K wakiwa na ushawishi wanaweza kuangaliwa na hata 2B viewers wordlwide kulindana na contents zao.
 
Anafanya biashara, maana anauza matangazo kupitia contents za kiswahili ukizingatia kuna autotranslation.

Zamani Twitter ilikuwa haiko kibiashara kama sasa. 600K wakiwa na ushawishi wanaweza kuangaliwa na hata 2B viewers wordlwide kulindana na contents zao.
Hawezi kubabaishwa na watumiaji 600k eti aweke filter kwa Tz
 
Hoja kutoka X (Twitter)👇.
IMG_20240613_094215.jpg
 
vilaza ni wengi nchi hii.. 'viongozi' hawa lengo lao ni kubaki madarakani milele
 
Hoja kutoka X (Twitter)👇.
View attachment 3016148
Uvccm chini ya chawa wao na mwenyekiti taifa wao, na uongonzi wote wajiuzuru mara moja

1. Wamewadhalilisha watanzania mil 60 kwamba wapo kule kuangalia mambo ya kijinga wakati wengine wapo kule kutafuta maisha

2 .Mwenyekiti wao ambae ni Rais wa nchi hii ni mdau na ipo account yake kule, pamoja na Marais wenziwe hachana na wateule wao ,na sector mbalimbali. Lakini pia uyu kilaza na mwenyekiti uvccm yupo na account kule

3 Balozi zetu achana na za mataifa mengine zipo kule

4 Majeshi ya mataifa mbalimbali wapo huko japo sikuwahi ona account ya jeshi l etu la tz but mashirika mbalimbali hata ya kijasusi yopo kule mfano shirika la kijasus la Islael n.k

Note
At dogo wa juzi anaijua dunia kuliko dunia inavyo mjua?

Waziri Nape asipo lisemea hili naye ajiuzulu , ujinga huu ,badala ya kuwa karibu na matatizo ya wenye nchi mko fikiria zima mitandao !

Mwenyekiti wa uvccm na viongozi wako msipo jiuzulu nitakuja wachapa vibao kama sio mkono wa Mungu wangu kuwachapa vibao.

Mmedhalilisha Taifa , Rais , na dunia, pumbavu
 
Yaani ukifungua tu account X unakutana na video na maudhui ya ushoga??
Sio mtumiaji wa X ila nijuavyo mitandao mingi hukupa kile unataka, kama ni mzee wa misambwanda badi utasearch misambwanda na itakua inakuja hiyo misambwanda na kama hupendi unaweza kuibloc usiione.

Viongozi hao wa dini waache uoga wa kijinga
Mie nipo Twitter na sijawahi kuona maudhui ya ngono kwa sababu nachagua mwenyewe nataka kuangalia nini.
 
Mie nipo Twitter na sijawahi kuona maudhui ya ngono kwa sababu nachagua mwenyewe nataka kuangalia nini.
Kuna vitu watu wanavikomalia mpaka unajiuliza hawa watu mbona ni kama wanakuza jambo lisilokuwepo kabisa.

Ishu za ukahaba nazo ni hivi hivi the way wanazipromote kwenye social media kua wanakamata wanataja na maeneo mapya watu wasiyoyajua, sasa unajiuliza wanazuia au wanapromote hizo mambo.
 
Back
Top Bottom