Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
-
- #21
Inamaana uhuru huo ndio chanzo cha kupigwa vita Tz? 🤔X kunauhuru wa kuandika cho chote pia kuna uhuru wa hata zile picha zetuuu za kikubwa
Yan we ukiona mtu amezingua na unaclip yake we nenda nayo X waha hamna mtu atakupiga ban au kuifuta kizembe
Karibu X mkuu
Kwanini wazuie ilihal kuangalia ngono si kosa?Twitter ndio inaongoza kwa picha na video za ngono kuliko mitandao ya ngòno yote duniani. Kwa nini TCRA wako kimya?
Zinakuja zenyewe au unazitafuta?Twitter ndio inaongoza kwa picha na video za ngono kuliko mitandao ya ngòno yote duniani. Kwa nini TCRA wako kimya?
Hawana hoja ni spana za upinzani zina wasumbua.Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni?
Naunga mkono mtazamoSababu ni kuwa hakuna mwanasiasa anayeweza kumpigia simu Elon musk na kumpa maelekezo ya kufuta thread
Ila usambazaji wa video za ngono ni kosa📌🌝Kwanini wazuie ilihal kuangalia ngono si kosa?
Shekhe anasema watu wanatumia X kufundishiana ushoga😄Mimi sielewe kabisa, ni kivipi uhuru ulionao X unakua sababu ya ushoga? Maana nifahamuvyo ni kwamba kila mtu analetewa suggestions za content kutokana na anachofatilia.
Na machawa.Ni wajinga tu ndio watashabikia hiki wanachotaka kukifanya
Dini ndo chanzo cha umaskin ktk taifa letu,Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;Mjadala huu unalenga;
Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni? Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza? Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?
Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa. Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii. Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila
ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.
Pia unaweza kusoma :Threads: "Uvccm Waitaka Serikali Kuifungia X Zamani Tittwer".
Tubaki bila dini? Yani tuwe non believers? Ama sijakuelewa🤔?Dini ndo chanzo cha umaskin ktk taifa letu,
Tuzuie uwepo wa dini kwa usalama wa taifa letu
Imekusaidia nin hadi sasa?Tubaki bila dini? Yani tuwe non believers? Ama sijakuelewa🤔?
Punguza sauti nduguHuwenda ni kwa sababu ni mtandao pekee uliobaki kwa Tz ambao unaruhusu urushwaji wa maudhui yaliyopigwa marufuku nchini kama vile video za ngono n.k
Personally, nina muda kidogo toka niache kuingia twitter so sijui kipi hasa kinaendelea humo. Kilichonikimbiza humo ni hii mambo ya video za ngono kila kona hata hata ukizinyima kuonekana kuna namna utakutana nazo tu. So tukiweka politics aside hoja yao inamashiko.
thundercat8 👆Huwa naingia twitter ila sujawahi kuletewa habari nisiyoitaka. Yani twitter i suggest mitandao mfano ya ngono kwangu? Hapana. Kwanza sijawahi kutana na shida hiyo japo nasikia kuna uhuru huo
Mbona hawashikii bango facebook ambayo ndio inaongoza kwa maudhui ya ngono na ushoga? Wana lao jambo