Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
- #41
Video 📺, Mwenyekiti UVCCM 👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi imefunga access za mitandao ya ngono. Hivyo hiyo imegeukq kuwa portal ya kubypass mpango huo ukiacha vpn.Zinakuja zenyewe au unazitafuta?
Kabisaa yaani.Kulishapoa! Kaingia yule jini Mange Kimambi ndio kumeamka tena. Hawapambani na X wanapambana na Mange.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.SPANA ZIMEKUWA NYINGI
Kosa kwa sheria ipi? Ya mtandao husika au serikali?Ila usambazaji wa video za ngono ni kosa[emoji419][emoji275]
Hivi Twitter ina watumiaji kiasi gani had waogope inasambaza ushoga? Afu mbona ukitazama ni mashoga wachache wako Twitter na hasa wale waliopita shule.Shekhe anasema watu wanatumia X kufundishiana ushoga[emoji1]
Sheria ya makosa mtandaoni.👇Kosa kwa sheria ipi? Ya mtandao husika au serikali?
Bora wangefungia TikTok 🤦Hivi Twitter ina watumiaji kiasi gani had waogope inasambaza ushoga? Afu mbona ukitazama ni mashoga wachache wako Twitter na hasa wale waliopita shule.
Waache uoga was kijinga, maadili hayafunidishwi Twitter, ni huko majumbani.
Kabisa aisee na mange aje huku jf afu asema anapatika jf kudadeki itajaza sana. Sema kwann wanatumia nguvu kubwa kupambana na mange. Kuna kitu naweza sema mange anajua na ameanza watajuta. Mpare yule harudishi miguu nyumaKulishapoa! Kaingia yule jini Mange Kimambi ndio kumeamka tena. Hawapambani na X wanapambana na Mange.
.ᴉzᴉɯɐpuɐʍɯ ɐɓoɥSHivi Ushoga wanafundishana? Najua kuna ushawishi ila inabaki suala la muhusika kukubali au kukataa.
Kwahiyo huko Twitter hakuna mada zingine zinazopatikana ila ni ushoga tyuu? Serikali iache kuhadaa umma, waseme wazi wanaogopa kukosolewa na kule watu wako smart ktk kupiga spana.
Mange yujo winja winja kulee na atawanyoosha sana.
Kutanoga sana hasa kuelekea uchaguzi mkuuKabisa aisee na mange aje huku jf afu asema anapatika jf kudadeki itajaza sana. Sema kwann wanatumia nguvu kubwa kupambana na mange. Kuna kitu naweza sema mange anajua na ameanza watajuta. Mpare yule harudishi miguu nyuma
Anafunguaga watu vichwa. Pale kigogo cha mtoto. Ila mange ni kibokoKutanoga sana hasa kuelekea uchaguzi mkuu
Bado hujasemaaa!!!.ᴉzᴉɯɐpuɐʍɯ ɐɓoɥS
Haaaa !🙆 kanadinywa?.ᴉzᴉɯɐpuɐʍɯ ɐɓoɥS