Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Duh! Hawa viongozi wamejuaje kama huko X kuna ushoga? Mimi nadhani serikali ingejikita kwenye kutekeleza ilani ya chama na sio kuwabana watu kwenye mambo yasiyo ya lazima. Ikumbukwe jinsi unavyombana mtu ndo jinsi unavyozidi kumhamasisha kutafuta uhuru wake.
 
Duh! Hawa viongozi wamejuaje kama huko X kuna ushoga? Mimi nadhani serikali ingejikita kwenye kutekeleza ilani ya chama na sio kuwabana watu kwenye mambo yasiyo ya lazima. Ikumbukwe jinsi unavyombana mtu ndo jinsi unavyozidi kumhamasisha kutafuta uhuru wake.
 
Duh! Hawa viongozi wamejuaje kama huko X kuna ushoga? Mimi nadhani serikali ingejikita kwenye kutekeleza ilani ya chama na sio kuwabana watu kwenye mambo yasiyo ya lazima. Ikumbukwe jinsi unavyombana mtu ndo jinsi unavyozidi kumhamasisha kutafuta uhuru wake.
Kwani hujui wanatangaza na ku promote indirect? Sahivi kila mtu ushoga, ushoga ishakua fashion.
 
Viongozi wa dini waiomba serikali kuufungia mtandao wa kijamii wa Twitter ( X ) nchini kwani mtandao huo umeonekana ukivunja maadili na taratibu za nchi kwa kuhamasisha ushoga na usagaji.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 11,2024 Mwenyekiti mstaafu wa Baraza Kuu la Waislam Vijana Tanzania na Mhadhiri mkubwa Shekh Alhaji Sulle amesema kufuatia na Dunia kuingia katika utandawazi kumepelekea kumomonyoka kwa maadili na kupelekea kuharibu taswira ya nchi.

Amesema mtandao wa Twitter (X) umekuwa ukihamasisha mapenzi ya jinsia moja na ushoga jambo ambalo ni kinyume na maadili ya Mtanzania.

"Tunawajibu wa kuyapima mambo ambayo tunaletewa ambayo yapo kinyume na maadili tunapaswa kuyapinga vikali ili kulinda maadali na tamaduni zetu za Kitanzania na kulinda kizazi kilichopo sasa na kijacho," amesema.

Kwa upande wake, Askofu Allen Siso amesema madhara yanayotokana na kuruhusu mtandao huo kwa jamii ni kukosa kizazi chenye maadili na kuvunja tamaduni za nchi ambapo ameiomba Serikali kupitia Bunge na Wizara husika ichukue hatua za haraka kuufungia mtandao huo ili kulinda tamaduni na maadili ya nchi lakini pia kufuata maandika ya neno la Mungu ambayo yanapinga vikali vitendo hivyo vya usagaji na mapenzi ya jinsia moja.
Hakuna Cha maadili Wala nini, ila kwenye mtandao wa X watu wanasema ukweli unaoiumiza serekali, na hakuna uwezekano wa kupata taarifa za hao wanaoipa ukweli mchungu serekali.
 
Kabisa aisee na mange aje huku jf afu asema anapatika jf kudadeki itajaza sana. Sema kwann wanatumia nguvu kubwa kupambana na mange. Kuna kitu naweza sema mange anajua na ameanza watajuta. Mpare yule harudishi miguu nyuma
Ngoja nimuite, MangeKimambi japo watu wa huku walimkera😄 (soma hapa.)​
 
Sasa si waweke wazi kuwa spana inaumiza, sio kusingizia ushoga.

Ushoga ulikuepo kabla hata ya Twitter.
Na kule twitter kama hujafollow shoga hata mmoja huwezi kuwaona. Nadhani hao viongozi wa dini ni mashoga au wana chembechembe za kupenda ushoga.
 
Halafu walivyo wa hovyo ili Kutuzuga Watanzania wakidhani Wote tunafanana nao kwa Akili Mbovu ( Hayati Baba wa Taifa alipenda sana kuwaita Wapumbavu ) walizonazo wamejifanya kusema Mtandao wa X ( zamani Twitter ) unachoche Mapenzi ya Jinsia Moja hivyo Wote ( Wapuuzi UVCCM na Viongozi Wanafiki wa Dini ) kwa pamoja wameitaka Serikali haraka sana Uufungie Mtandao wa X ( zamani Twitter )

Yaani Kiongozi anaacha kuwaza jinsi ya kuwaletea Maendeleo Watanzania anaamua kutumia muda wake wote kupanga Mikakati ya Kipuuzi na kuwatumia Watu wasio na Akili kama Yeye ili wapige Kelele Serikalini ili Jambo lake alitakalo lipate sababu na haraka sana achukue hatua. Nyerere aliposema Ikulu si mahala pa Kukimbilia mkampuuza sasa wenye Akili na tuliokuwa na tunaomkubali tumemuamini 100%.
 
Back
Top Bottom