Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa VPNUS wanaifungia Tik Tok. China wamezifungia Facebook, Twitter, Instagram, Youtube , Whatsapp et al
Nlijuwa watazungumzia kuhusu yule rc aliyemzibua mtoto wa watu nnya hadi kumtoa kinys
Oba
Unaweza kuziona bila kuzitafuta?
Me natumia X Kwa miaka mingi mbona sijawahi kuziona
Ww unaziona because unazitafuta
Pote mtandaoni huwa zinatafutwa. Twiiter inaweza kutafuta ila sio mitandao mingine ya kijamii. Hii ndio tofauti.Hujajibu swali
Picha na video za ngono zinakuja zenyewe au mtumiaji anazitafuta?
Si X pekee, hata vikundi vya kwaya makanisani navyo huharibu vijana.Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;Mjadala huu unalenga;
Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni? Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza? Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?
Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa. Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii. Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila
ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.
Pia unaweza kusoma :Threads: "Uvccm Waitaka Serikali Kuifungia X Zamani Tittwer".
Wenye kuupromoti Ushoga ni CCM wenyewe na kile kitengo chao cha kupakazia Ushoga wapinzani wao !Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;Mjadala huu unalenga;
Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni? Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza? Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?
Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa. Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii. Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila
ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.
Pia unaweza kusoma :Threads: "Uvccm Waitaka Serikali Kuifungia X Zamani Tittwer".
Watazuia X leo lakini keshokutwa zitakuja XXL na nyinginezo nyingi ,Una watu wanaojielewa na wako smart kwenye kuikosoa serikali
Na sasa hivi Mange amekuja kwa kasi X kuipiga madongo serikali na raisi
Wakiifungia X Mange atahamia mtandao mwingine !Kabisaa yaani.
🤣🤣🤣 you get what you search/viewPersonally, nina muda kidogo toka niache kuingia twitter so sijui kipi hasa kinaendelea humo. Kilichonikimbiza humo ni hii mambo ya video za ngono kila kona hata hata ukizinyima kuonekana kuna namna utakutana nazo tu. So tukiweka politics aside hoja yao inamashiko.
na matusi pia yako freeTwitter ndio inaongoza kwa picha na video za ngono kuliko mitandao ya ngòno yote duniani. Kwa nini TCRA wako kimya?
Sasa hamtaki uhuru??KUle ni uhuru haswaaaa.
Sasa watu ndo wanapinga huo uhuru na kule hamna mtu anakureport kirahisi kama jf au fb
Ni sawa na watu kusema ooh telegram kumejaa watu wanajiuza, kuna watu wanataman wawaone hao wanaojiuza telegram ila hawawaoni maana ni hadi usearch, sometimes uwe na connection ama ulipie kabisa kupewa link..Hili swali zuri sana.