Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.​
Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.​
Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;​
  1. Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni?​
  2. Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza?​
  3. Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?​
Mjadala huu unalenga;
  • Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa.​
  • Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii.​
  • Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.​
Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila​

ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.
Shida machawa kila wakileta hoja mfu kule wanashushiwa za kichwa ,mtandao wa X kule ni jamuhuri kamili watu wapo serious sana , sasa machawa kutokana na uwezo wao mdogo wa kujenga hoja kule wapo kulialia , at x ifungiwe kwamba inaleta ualibifu katika jamii ila cha ajabu

Tiktok hawaigusi wakati ndo mtandao hatari sana
 
Ni sawa na watu kusema ooh telegram kumejaa watu wanajiuza, kuna watu wanataman wawaone hao wanaojiuza telegram ila hawawaoni maana ni hadi usearch, sometimes uwe na connection ama ulipie kabisa kupewa link..

Ko unakuja kuona kwamba ni mtu mwenyewe kwa tamaa zake kasearch makitu ya ajabu, nafsi yake ikianza kumsuta kua anafanya dhambi basi anawatupia lawama wengine na sio yeye.
Umeangalia porn mwenyewe, umejichukulia sheria mkononi mwenyewe, kwenye kujuta unaanza kuilaumu telegram au X.
This is very true📌
 
Sababu ni moja twitter ndo imeshika nafasi ya JF 2007-2017,

Jf baada ya 2017 si chochote si lolote
Yamejaa matangazo ya kuuza viwanja na uganga! JF kwa sasa HAINA tofauti na global publisher au Gazet la mwananchi!

ZILE be first to know haziko Tena JF, na JF si tishio Tena,

Nondo za zamani watu walizokiwa wanamwaga akina
Mchambuzi, Kashaija butege, Kalamu, Mkandara, kiranga, Mag33 siku hizi wakiziweka zinafutwa muda huo huo ,
Hivo kule X au twitter mtu ana ji moderate mwenyewe ! Atajua afiche vipi ID zake ! Lakin Mara nyingi kwa sasa mabadiliko makubwa ya Jamaa na elimu na ujuzaji wa Habari za kutisha yapo X

Kuna account ya Exmayor Ubungo, kuna account ya Tanzanialeakes, kuna account za akina Tanzania Abroad TV, na akina lema na wengine zinatema mambo Mpaka unashangaa kwamba kumbe nchi ndo ilivyo

Britanicca
 
Inamaana uhuru huo ndio chanzo cha kupigwa vita Tz? 🤔
Ukiona hivyo ujue watu wako 'obsessed' na sex. Mbona mimi sina huo muda wa kuangalia hizo 'online products' na hata sijui kama zipo? Sasa wao wanapekenyuapekenyua mpaka wamezipata na kuziangalia, walikuwa wakitafuta nini kama siyo wateja? Hizi products zina wateja wake na pengine na hawa wanapojifanya wanachukia hayo mambo na wao wamo. Na haya mambo yanayoonekana mtandaoni ina maana yako kwenye jamii in the first place. Huwezi kuyapiga vita mtandaoni kama yameshamiri kwenye jamii, kama hujayapiga vita kwenye jamii, ni kujidanganya, huwezi kufanikiwa. Kufanikiwa ni mpaka yasiwepo kwenye jamii. Vinginevyo yataendelea kuwepo hata kama mitandao yote itafungiwa na hata kuzuia watu wasiwasiliane kwa simu au barua pepe
 
Shida machawa kila wakileta hoja mfu kule wanashushiwa za kichwa ,mtandao wa X kule ni jamuhuri kamili watu wapo serious sana , sasa machawa kutokana na uwezo wao mdogo wa kujenga hoja kule wapo kulialia , at x ifungiwe kwamba inaleta ualibifu katika jamii ila cha ajabu

Tiktok hawaigusi wakati ndo mtandao hatari sana
Na machawa wote wameona ngao yao kubwa ni kusingizia mambo ya ushoga. 😂
Hawana propaganda nyingine mpya zaidi ya hiyo 🙄🤠
Bure kabisa. 🙄🤠
 
Kutokana X (Twitter) 👇
Screenshot_20240612-100150.jpg
 
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.​
Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.​
Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;​
  1. Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni?​
  2. Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza?​
  3. Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?​
Mjadala huu unalenga;
  • Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa.​
  • Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii.​
  • Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.​
Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila​

ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.

Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na serikali dhidi ya Twitter, wakidai kwamba ina athari hasi kwenye maadili na utamaduni wa Kitanzania.
Leo viongozi wa dini wameeleza wasiwasi wao kwamba Twitter inachangia katika kuharibu maadili ya vijana kwa kuruhusu na kukuza maudhui yanayohusiana na ushoga na mahusiano ya jinsia moja, ambayo yanakinzana na maadili, mila, na desturi za Kitanzania. Wametoa wito kwa serikali kuchukua hatua za makusudi kufungia mtandao huo ili kulinda maadili ya taifa.​
Kwa upande mwingine, kumewahi kuwa na ripoti kwamba serikali imetumia sera ya hakimiliki ya Twitter kama njia ya kunyamazisha wanaharakati. Hii inaonesha kwamba Twitter inaweza kuwa inapigwa vita si tu kwa sababu za maadili, bali pia kama njia ya kudhibiti uhuru wa kujieleza na kukosoa serikali.​
Hata hivyo, yapo maswali ya msingi ya kujadili kama jamii ikiwa pamoja na;​
  1. Je, ni sahihi kwa serikali na viongozi wa dini kupinga matumizi ya Twitter kwa misingi ya maadili na utamaduni?​
  2. Je, kuna njia mbadala za kushughulikia wasiwasi wa maadili bila kuzuia uhuru wa kujieleza?​
  3. Je, ni jukumu la nani kuhakikisha kwamba maadili na mila za Kitanzania zinalindwa katika zama za utandawazi?​
Mjadala huu unalenga;
  • Kutoa nafasi kwa wanajamii kueleza maoni yao kuhusu sababu za Twitter kupigwa vita nchini Tanzania, na iwapo inapaswa kufungiwa.​
  • Kujadili uwiano kati ya kulinda maadili na uhuru wa kujieleza katika jamii.​
  • Kupata maoni mbalimbali kuhusu jinsi gani jamii inaweza kulinda maadili yake katika zama za utandawazi bila kuzuia maendeleo ya teknolojia.​
Nakaribisha michango yenu yenye tija na hoja zenye mantiki kwa mjadala huu muhimu unaogusa dhana ya haki na uhuru wa kujieleza kwa kila​

ANGALIZO
Mjadala huu umetengenezwa kwa lengo la kujadili masuala muhimu yanayoathiri jamii yetu. Tunaheshimu maoni na imani za kila mtu na tunasisitiza mjadala wenye heshima na staha.
Kiukweli dunia Ina endelea kwa Kasi lakini si Kila maendeleo lazima tuya pokee mengine tuna paswa kuya acha yapite Kama yatakuwa Yana tweza utu wetu/kuingilia na kuvuluga tamaduni zetu

Na katika hili ninge shauri pia ufanyike utafiti katika inchi ambazo Zina utumia mtandao huo pasipo tahadhari zozote

tuone nijinsi gani watu wake walivyo athilika kimatokeo chanya na hasi

Kisha ndipo tuangalie Kama mtandao huo uwepo au usiwepo inchini kwetu
 
Na haya mambo yanayoonekana mtandaoni ina maana yako kwenye jamii in the first place. Huwezi kuyapiga vita mtandaoni kama yameshamiri kwenye jamii, kama hujayapiga vita kwenye jamii, ni kujidanganya, huwezi kufanikiwa. Kufanikiwa ni mpaka yasiwepo kwenye jamii. Vinginevyo yataendelea kuwepo hata kama mitandao yote itafungiwa na hata kuzuia watu wasiwasiliane kwa simu au barua pepe
Point to be considered 📌
 
Hivi kuna tabia mbaya kuliko ufisadi na Wizi wa kodi za watanzania?
Ebu warejeshe haya maadili ya uwajibikaji wa viongozi na uaminifu kwanza haya ndo yanaathiri taifa zima.
Swala la ushoga ni mtu na marinda yake sio big deal kwetu sis wengine tunaotoa udenda tukiona mizigo ya watoto wazuri.
 
Back
Top Bottom