Kwanini mtu akitoka Kufanya ngono hawezi kusali?

Kwanini mtu akitoka Kufanya ngono hawezi kusali?

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Wakubwa Habari za muda huu?

Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.

Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
 
Wakubwa Habari za muda huu?

Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.

Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
Ngono ni ibada. Sala nayo ni ibada. Unachanganya maji na moto
 
Wakubwa Habari za muda huu?

Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.

Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
Energy kubwa inatumika kwenye ngono au tendo la ndoa - hakuna kitu cha ajabu hapo!
 
Unaweza kujisaidia haja kubwa ukatoka kwenda kula chakula bila ya kunawa mkono kiongozi...?

Huyuu kaelezea vizur ila haujaelewa tu

Katika dini ya uislam kama umetoka kushiriki tendo Na mwenzako wa halali yaani mme/mke wa ndoa na baada ya tendo kuna utaratibu maalum wa kuoga/kujisafisha kwa ajili ya kuiendea swala- ukishajiandaa kwa ajili ya sala hakuna kitakachotokea kati ya hivyo ulivyovihorodhesha

Ukishamaliza tendo oga/josho Kwa sheria kisha nenda kaswali hata hapo hapo tu baada ya kumaliza tendo ilimradi uoge Kwa kufata sheria hakuna tatzo lolote lile
 
Chunguza kitu kimoja, unaweza ukakamia sana kufanya ngono na mtu fulani. Siku unaefanya nae ukikojoa tu basi nafsi inaingia jitimai na kujilaumu kwanini umefanya nae.

Na hii jitimai haishii kwenye nafsi tu, inaenda mpaka kwenye imani. Wewe unaweza jichukulia poa lakini nafsi yako inakusuta hata kumkabili Mungu, hii ni ithibati kuwa ulichofanya sio sahihi.
 
Back
Top Bottom