Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
SijakuelewaUsisali mara mbili mbili ni uroho
Kufanya ngono ni salaSijakuelewa
kivipi Kufanya ngono Ni sala🙄🙄Kufanya ngono ni sala
Kusali ni sala
Akili kumkichwa
Unajadili jambo ambalo halopo kwenye mjadalaUnaweza kujisaidia haja kubwa ukatoka kwenda kula chakula bila ya kunawa mkono kiongozi...?
Unajadili jambo ambalo halopo kwenye mjadala
Namaanisha zinaa au UASHERATIHoja ya kwenye uzi wako ni fikirishi,ila haina muelekeo, lengo ni sisi tujadili ngono halali (kwenye ndoa) au ngono haramu (kabla au nje ya ndoa)? Makinika
Ngono ni ibada. Sala nayo ni ibada. Unachanganya maji na motoWakubwa Habari za muda huu?
Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.
Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
Energy kubwa inatumika kwenye ngono au tendo la ndoa - hakuna kitu cha ajabu hapo!Wakubwa Habari za muda huu?
Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.
Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
KumbeZinaa Huondoa imani ya Mja, huvuliwa imani ikawa hata anafanya ibada kwa kujilazimisha.. Lakini katika nafsi yake hakuna mahusiano baina yake, ibada yake na Mola wake.
🙄Ngono ni ibada. Sala nayo ni ibada. Unachanganya maji na moto
Lakini wewe Ni mwanaume. Bisha😅Ngono ni ibada. Sala nayo ni ibada. Unachanganya maji na moto
Halafu wewe ni mdada, bisha!!Lakini wewe Ni mwanaume. Bisha😅
Unaweza kujisaidia haja kubwa ukatoka kwenda kula chakula bila ya kunawa mkono kiongozi...?