wew ni mwanakwaya mzinzi hata umejua hili?Wakubwa Habari za muda huu?
Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.
Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
jitimai ni nini mkuu? Kumbe kiswahili ni kipana sanaChunguza kitu kimoja, unaweza ukakamia sana kufanya ngono na mtu fulani. Siku unaefanya nae ukikojoa tu basi nafsi inaingia jitimai na kujilaumu kwanini umefanya nae.
Na hii jitimai haishii kwenye nafsi tu, inaenda mpaka kwenye imani. Wewe unaweza jichukulia poa lakini nafsi yako inakusuta hata kumkabili Mungu, hii ni ithibati kuwa ulichofanya sio sahihi.
duh! Hii kaliDhambi zote afanyazo mtu ninje yamwili wake ila kuzini nindani yamwili yake hivyo muikimbie zinaa maana mwili nihekalu lamungu[emoji120][emoji120]
Huzuni, sononeko la nafsi, kuhisi hatia.jitimai ni nini mkuu? Kumbe kiswahili ni kipana sana
Oh! well 🙏🏿Huzuni, sononeko la nafsi, kuhisi hatia.
Nakubali 🧢🖖🏾Ngono ni upuuzi fulani hivi tunao upa thamani isiyo kuwa nayo.
Ukiona hivyo basi mtu huyo tayari ni mzinzi mbobevu na ameshaamua kuishi maisha ya zinaa. Nafsi yake imeshakufa japo yupo hai kimwili.Hamna kitu kama hicho.unapiga mambo na unasali vizuri tu.
huu mfano wa wanakwaya sasa inamaana wanakwaya wote wametoka kuzini au mmoja tu anaweza kufanya ibada ipooze?Wakubwa Habari za muda huu?
Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.
Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
Kumba kwaya sio ibada wa sala weweWakubwa Habari za muda huu?
Kwanini mtu akitoka Kufanya zinaa/ uasherati hawezi kusali muda Mfupi baadaye? Hata akijaribu kusali Ni Kama sauti haitoki au ni Kama vile yupo kwenye vacuum.
Mfano mzuri ni waimba kwaya kama wametoka kuzini, wakija kuongoza ibada, kunakuwa na uzito flani usio wa kawaida au ibada inakuwa imepoa. Kuna Siri gani katikati ngono?
mbona ni kawaida sana boss.Unaweza kujisaidia haja kubwa ukatoka kwenda kula chakula bila ya kunawa mkono kiongozi...?