Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngono na kujichua vinaondoa life force yako kiroho, yaani unachokitoa baada ya ngono ni lige forceWewe Kijana unayechua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi
Fanya hivi
Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua
Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji.
Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
Mangi umeongea kweli,ila kwenye kujichua siungi mkonoKula matunda fanya mazoezi na mlo kamili , hata ukijichua unakua poa tu.
Life force kivipNgono na kujichua vinaondoa life force yako kiroho, yaani unachokitoa baada ya ngono ni lige force
Is why watu ambao hawafanyi sana wala kujichua wanawaka or mambo yao yana slide mara kwa mara
Utasemaje kitu kibaya,sema uzinzi ndio kitu kibayaTo be honest ngono ni kitu kibaya Sana sema minyege tu inatusumbua😄😄😄😄😄
Unaunga mkono kupata ukimwi na magonjwa ya ngono sasa😁Mangi umeongea kweli,ila kwenye kujichua siungi mkono
Unamanisha uso unakuwa na vimuli muli?Wewe Kijana unayechua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi
Fanya hivi
Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua
Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji.
Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
Yani hata usipofanya mda mrefu manii zitatolewa tu kwa njia ya asili .Mbona wengine wasipofanya wanakuwa na chunusi na mafuta mengi usoni. . .
Inategemea na ujichuaji ndugu yangu.Kula matunda fanya mazoezi na mlo kamili , hata ukijichua unakua poa tu.
Naunga mkono kwamba nuru inaletwa na kula vizuri,matunda na maji safi,hakuna muujiza mwingineUnaunga mkono kupata ukimwi na magonjwa ya ngono sasa😁