min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ila kwa ambae aamini kiroho wala hawezi kuathirika na chochote, ubongo unaweza kufanya manifestation ya kile unachokiamini kikawa reality yako.Naunga mkono kwamba nuru inaletwa na kula vizuri,matunda na maji safi,hakuna muujiza mwingine
Uzinzi na kujichua huleta guilt fulani kama wewe ni mwenye kumuamini Mungu,so automatically lazima utaathirika kiroho