Mzee wa makamo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2024
- 200
- 444
hhhhhhhhKula matunda fanya mazoezi na mlo kamili , hata ukijichua unakua poa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hhhhhhhhKula matunda fanya mazoezi na mlo kamili , hata ukijichua unakua poa tu.
Chukulia nimemzidi wife 10yrs, unadhani nani wa kwanza kufa...kwa kanuni za dunia!Unachoka sana hata kumtomba mkeo ndio maana mnakufa mapema sana....
Expert labda sio kwamba babu yako chuma ilikuwa imekata ringWanaume huwa tunadhani tunawakomoa wanawake kwa kumwaga round nying kumbe tunajiua wenyewe
Katika kukua kwangu Babu aliacha kulala na bibi miaka mingi Sana
Alikuja kufariki na miaka 100+ nyumba tofaut walikuwa wanalala
kama kuna ka ukweli hivi😂😂😂😂Chukulia nimemzidi wife 10yrs, unadhani nani wa kwanza kufa...kwa kanuni za dunia!
Mkuu, hatuwezi kuacha kuwaweka wanawake eti tutakosa nuru.
Nashukur sana mkuu
Nitafanya
Usiache mazoeziNashukur sana mkuu
Nitafanya.
Hizo ndogo me nimesema mwaka huu nagawa kati kati yani nusu mwaka ukifika tu basi naruhusu mawazo ya mapenz yaniingie.unganeni .na mimi kwa siku 90 sitaki nyeto au kutombana
Unavunga tu mangi!🤣🤣🤣Masuala ya gesi imeisha lazima ukose nuru🤣🤣
Ni kweli mkuu , mapenzi ni biashara unayotoa pesa ila hauingizi pesa , lazima nuru ipotee na upauke kama kobe tu.Unavunga tu mangi!🤣🤣🤣
💪💪💪💪Usiache mazoezi
Mm mwenzio nakuchafua football
Spiritual ipoje?
Nishati ya kiroho ambayo mtu anayo inaamuliwa na matendo yake, maadili na imani.Spiritual ipoje?
yatakuja na stress za kila rangiHizo ndogo me nimesema mwaka huu nagawa kati kati yani nusu mwaka ukifika tu basi naruhusu mawazo ya mapenz yaniingie.
Nakubaliana na wewe mkuu!Nishati ya kiroho ambayo mtu anayo inaamuliwa na matendo yake, maadili na imani.
tupe hizo sababuhii ni pseudoscience hii
haijathibitishwa
nimesikia mengi zaidi ya hayo. mara sauti inakuwa nzito zaidi, mara mashine inakuwa nene zaidi...😅
zipo sababu nyingine halali tu za kuacha nyeto/ngono ila sijui kwanini watu mnapendelea kujidanganya hivi...
hii ni pseudoscience hii
haijathibitishwa
nimesikia mengi zaidi ya hayo. mara sauti inakuwa nzito zaidi, mara mshine inakuwa nene zaidi...😅
zipo sababu nyingine halali tu za kuacha nyeto/ngono ila sijui kwanini watu mnapendelea kujidanganya hivi..
Kuna mtu vyote hivyo anavyo na anapiga nyeto kuamini tu haitoshi bila uthibitisho.Nishati ya kiroho ambayo mtu anayo inaamuliwa na matendo yake, maadili na imani.
Kwa hiyo watu wote wanaokumbwa na mauti ni wapiga nyeto tu ?Kwa Imani yangu! Sikulazimishi uniamini, Ni hivi!
Palipo na dhambi, Pana Mauti ... Kujichua na uzinzi ni dhambi mbaya inayoathiri Roho, nafsi na mwili at once.
Kwa kuwa palipo na dhambi Pana Mauti, ni wazi kuwa hapana uhai, hapana Nuru, hapana uhuru!
Sema ndo ivoooo vijana wengi Wanafanya ila deep down wanapata guilty ... Upwiru mbaya sana