Kwanini mtu usipofanya ngono wala kujichua unakuwa na nuru sana usoni?

Kwanini mtu usipofanya ngono wala kujichua unakuwa na nuru sana usoni?

Kwa hiyo watu wote wanaokumbwa na mauti ni wapiga nyeto tu ?
Hapana mkuu! Nimeongelea kwa muktadha wa mada husika.

Na Mauti siongelei mwili kutengana na Roho! Bali ninaamisha kuwa palipo na dhambi, pa Roho ya kuua vitu, nguvu ya ndani, motisha Binafsi n.k

Hii ni Imani yangu Mimi!
 
Kuna mtu vyote hivyo anavyo na anapiga nyeto kuamini tu haitoshi bila uthibitisho.
Unajaji na kuelewa maisha ya watu nje nje. Mfano, watu wanaendekeza ngono, nyeto na michezo mingine michafu bado wanategemewa na jamii, wako vizuri kiuchumi.
 
Hapana mkuu! Nimeongelea kwa muktadha wa mada husika.

Na Mauti siongelei mwili kutengana na Roho! Bali ninaamisha kuwa palipo na dhambi, pa Roho ya kuua vitu, nguvu ya ndani, motisha Binafsi n.k

Hii ni Imani yangu Mimi!
Bora umesema ni imani, sasa kuna mtu yeye haamini hvyo na yupo sawa tu .
 
sisi tutajuaje,weka hapa wakati ukingonoka na baada ya kunywa maji mwezi mmoja
 
Bora umesema ni imani, sasa kuna mtu yeye haamini hvyo na yupo sawa tu .
Ni sawa Mkuu! Ndio maana nimesema hii ni Imani yangu,

Na unalosema ni kweli! Wapo wanaofanya kila aina ya ushenzi wa Dunia hii na wanapo vizuri tu kwa nje!

Ila kuhusu internal peace hatujui! Maana it's personal thing

Kikubwa tuna share mawazo ili kuweza kujazana Maarifa na ufahamu wala sio kubishana
 
Ni sawa Mkuu! Ndio maana nimesema hii ni Imani yangu,

Na unalosema ni kweli! Wapo wanaofanya kila aina ya ushenzi wa Dunia hii na wanapo vizuri tu kwa nje!

Ila kuhusu internal peace hatujui! Maana it's personal thing

Kikubwa tuna share mawazo ili kuweza kujazana Maarifa na ufahamu wala sio kubishana
Kujazana maarifa yasiyokuwa na uthibitisho nalo linaweza kuwa tatizo.
 
Wewe Kijana unayechua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi

Fanya hivi

Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua

Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji.

Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
Uwongo
 
Kujazana maarifa yasiyokuwa na uthibitisho nalo linaweza kuwa tatizo.
Ni kweli ... Ila pakishakuwa na utofauti wa Imani ... Hata swala la uthibitisho Huwa ni gumu.

Mfano Mimi ... Hoja zangu nasimamia maandiko ya Biblia.

Sasa swala la uthibitisho ni paradox
 
Wajinga wa mjini watakwambia
"The goal is to ejaculate sasa wewe nuru itakusaidia nini if u are not cumming on regular basis"
 
Back
Top Bottom