GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hasa hasa kila tarehe za mwisho wa Mwezi kuanzia 25 hadi tarehe za 7 na 9 za Mwezi mpya.
Natamani mno kuuona akiandaa Makongamo yake tarehe za kuanzia 11 hadi 22 za kila Mwezi.
Nimemtaja hapo Mtume wenu kwakuwa Mimi siyo Mtume wangu na nikiwasoma Watume wakweli katika Biblia na Historia mbalimbali bado sijaona hata akiwafikia kwa 15% tu.
Haya Team Kudanganywa Nae Kutwa (TKNK) Karibuni ulingoni muanze Kujibu Hoja na Kumtetea mkidhani ndiyo mtabarikiwa nae wakati ndiyo anazidi kuwafanya muendelee kuwa Mazuzu na Masikini huku Mkifilisika kwa kwenda mbele.
Natamani mno kuuona akiandaa Makongamo yake tarehe za kuanzia 11 hadi 22 za kila Mwezi.
Nimemtaja hapo Mtume wenu kwakuwa Mimi siyo Mtume wangu na nikiwasoma Watume wakweli katika Biblia na Historia mbalimbali bado sijaona hata akiwafikia kwa 15% tu.
Haya Team Kudanganywa Nae Kutwa (TKNK) Karibuni ulingoni muanze Kujibu Hoja na Kumtetea mkidhani ndiyo mtabarikiwa nae wakati ndiyo anazidi kuwafanya muendelee kuwa Mazuzu na Masikini huku Mkifilisika kwa kwenda mbele.