GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na Wewe ni TKNK?inafikirisha
Tarehe 25 na mwezi 7 ,na 9
Mabingwa wa hesabu Kwa 2 inagawika hzo namba
Jamaa sijui huwa anawapa nini Waumini wake kwani 99% yao na ninaowajua Akili zao hata za Kuku wangu wa Kienyeji ninaowafuga Uswahilini zina afadhali au nzuri kuliko zao.Wanaenda kutoa sadaka za kujimaliza.
Anawalambisha wese la upako wanakuwa mazuzu wanatoa hela zote mfukoni
Tapeli Mwamposa kama matapeli wengine uwajuao mjini.Hasa hasa kila tarehe za mwisho wa Mwezi kuanzia 25 hadi tarehe za 7 na 9 za Mwezi mpya.
Natamani mno kuuona akiandaa Makongamo yake tarehe za kuanzia 11 hadi 22 za kila Mwezi.
Nimemtaja hapo Mtume wenu kwakuwa Mimi siyo Mtume wangu na nikiwasoma Watume wakweli katika Biblia na Historia mbalimbali bado sijaona hata akiwafikia kwa 15% tu.
Haya Team Kudanganywa Nae Kutwa (TKNK) Karibuni ulingoni muanze Kujibu Hoja na Kumtetea mkidhani ndiyo mtabarikiwa nae wakati ndiyo anazidi kuwafanya muendelee kuwa Mazuzu na Masikini huku Mkifilisika kwa kwenda mbele.
Very simple.... Hizo tarehe za mishaharaTarehe ambazo mishahara bado inakua ya moto moto
Nadhan kweli anaangalia tarehe nzuri za mshaharaKipindi hicho mshahara unakuwa wa moto
Kwakweli ππππVery simple.... Hizo tarehe za mishahara
Hivi hii sadaka ya kujimaliza huwa naifikiria kweli yani...watu kweli ndo hua wanajimaliza πππ€π€Nadhan kweli anaangalia tarehe nzuri za mshahara
Watu watoe sadaka ya kujimaliza