Kwanini Mtume wenu Mwamposa hupenda kufanya Makongamano yake Tanganyika Packers hasa tarehe hizi?

Mzee wa nani kakupa muujiza[emoji16][emoji16]🫵[emoji2536] dah mshikaji ni mwongo yule sijawahi ona na wengi wao wanaoenda huko ni wale wafupi kufikiri hasa hatma ya maisha yao.
Nina Mtu Mmoja kabla ya kuanza Kuhubiri Kwake ( Mwamposa ) alikuwa na Duka Kubwa na Tajiri mno ila alivyoanza tu Kuabudu ( Kusali ) Kwake hivi sasa Dukani Kwake kuna Vibinti tu Viwili na Pakiti Moja ya Chumvi huku akiwa na hali Ngumu ya Kimaisha kuliko hata niliyonayo na niliyoizoea Mimi GENTAMYCINE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…