Mzee wa nani kakupa muujiza[emoji16][emoji16]🫵[emoji2536] dah mshikaji ni mwongo yule sijawahi ona na wengi wao wanaoenda huko ni wale wafupi kufikiri hasa hatma ya maisha yao.
Nina Mtu Mmoja kabla ya kuanza Kuhubiri Kwake ( Mwamposa ) alikuwa na Duka Kubwa na Tajiri mno ila alivyoanza tu Kuabudu ( Kusali ) Kwake hivi sasa Dukani Kwake kuna Vibinti tu Viwili na Pakiti Moja ya Chumvi huku akiwa na hali Ngumu ya Kimaisha kuliko hata niliyonayo na niliyoizoea Mimi GENTAMYCINE.